Baadhi ya Wamarekani washangazwa n kitendo cha Elon Musk kumpeleka mtoto wake ndani ya Oval House kukutana na Donald Trump

Ekisii ashi a tweleve.Wakati mimi na umri kama wako wazazi walikuwa wananivunjia litawi la mti wa kisamvu nichezeee😁😁😁
 
Usichezee Hela Elon Musk ana nguvu na ushawishi kwasababu ana hela
 
Kabisa nakubaliana na wewe. Tena ndani ya Ikulu kavaa kapelo. 😛
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…