Baadhi ya wana CCM wanaotafuta nafasi za Ubunge, wameanza usumbufu. Mimi siyo mwana CCM lakini leo napigiwa na mtu anayejitambulisha ni Mkurugenzi wa Halmashauri na anataka kugombea na anaomba support yangu.
Namuuliza simu yangu kapata wapi? Anaomba niwe mpole tu tuelewane. Nauliza mbona mapema anasema wako wengi kila mtu anatafuta waungaji mkono.
Finally, ameahidi kunirushia elfu 40! Nazisubiri ili niongeze bando la kuchat JF maana naona hawa CCM rushwa ni sehemu ya vinasaba vya miili yao. Yaani unahongwa hata kabla mtu hajachukuwa fomu!
Namuuliza simu yangu kapata wapi? Anaomba niwe mpole tu tuelewane. Nauliza mbona mapema anasema wako wengi kila mtu anatafuta waungaji mkono.
Finally, ameahidi kunirushia elfu 40! Nazisubiri ili niongeze bando la kuchat JF maana naona hawa CCM rushwa ni sehemu ya vinasaba vya miili yao. Yaani unahongwa hata kabla mtu hajachukuwa fomu!