Uchaguzi 2020 Baadhi ya wana CCM wanaotafuta nafasi za Ubunge, wameanza usumbufu wa rushwa

Uchaguzi 2020 Baadhi ya wana CCM wanaotafuta nafasi za Ubunge, wameanza usumbufu wa rushwa

Baadhi ya wana CCM wanaotafuta nafasi za Ubunge, wameanza usumbufu. Mimi siyo mwana CCM lakini leo napigiwa na mtu anayejitambulisha ni Mkurugenzi wa Halmashauri na anataka kugombea na anaomba support yangu.

Namuuliza simu yangu kapata wapi? Anaomba niwe mpole tu tuelewane. Nauliza mbona mapema anasema wako wengi kila mtu anatafuta waungaji mkono.

Finally, ameahidi kunirushia elfu 40! Nazisubiri ili niongeze bando la kuchat JF maana naona hawa CCM rushwa ni sehemu ya vinasaba vya miili yao. Yaani unahongwa hata kabla mtu hajachukuwa fomu!
Kwa hasira unga bundle la mwezi mzima
 
Mchakato wa kuwapata wabunge this time ni mgumu sana na siyo rahisi kutumia rushwa kabisa, hii ni CCM mpya. Ebu pitia mchakato wa uchaguzi wa majimbo [emoji1313] chini then unambie rushwa itaanzia wapi hapa?

CCM-MCHAKATO WA UCHAGUZI MAJIMBONI 2020

HATUA YA KWANZA

-Kuchukua fomu (Kimyakimya bila mbwembwe)
-Kujaza Fomu
-Kurudisha fomu
-Kujadiliwa na kamati ya siasa wilaya (Wanatoa maoni kwa kila Mgombea, kama wagombea wako 10 au 3 au 7 wote wanatolewa maoni)
-Maoni hayo kwa Majina ya wote waliochukua fomu yanapelekwa Kamati ya siasa Mkoa kujadiliwa.
Hii ya majina matatu imepitwa na wakati. Subiri tar 11. CCM wanabadilika kila wakati. Nadhani wanajaribu kuyalea matatizo waliyonayo ndani ya chama. Rushwa.
 
Baadhi ya wana CCM wanaotafuta nafasi za Ubunge, wameanza usumbufu. Mimi siyo mwana CCM lakini leo napigiwa na mtu anayejitambulisha ni Mkurugenzi wa Halmashauri na anataka kugombea na anaomba support yangu.

Namuuliza simu yangu kapata wapi? Anaomba niwe mpole tu tuelewane. Nauliza mbona mapema anasema wako wengi kila mtu anatafuta waungaji mkono.

Finally, ameahidi kunirushia elfu 40! Nazisubiri ili niongeze bando la kuchat JF maana naona hawa CCM rushwa ni sehemu ya vinasaba vya miili yao. Yaani unahongwa hata kabla mtu hajachukuwa fomu!
Chukueni pesa hizo
 
Pesa zingine ni kuleta gundu tuu kwenye maisha yako.
Kula za hawa wanao UA mpaka ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi ni matatizo matupu.
Yataka moyo kuziachia maana niliona kama pesa hazihitaji sanitization ya corona. ila kura hapati!
 
Baadhi ya wana CCM wanaotafuta nafasi za Ubunge, wameanza usumbufu. Mimi siyo mwana CCM lakini leo napigiwa na mtu anayejitambulisha ni Mkurugenzi wa Halmashauri na anataka kugombea na anaomba support yangu.

Namuuliza simu yangu kapata wapi? Anaomba niwe mpole tu tuelewane. Nauliza mbona mapema anasema wako wengi kila mtu anatafuta waungaji mkono.

Finally, ameahidi kunirushia elfu 40! Nazisubiri ili niongeze bando la kuchat JF maana naona hawa CCM rushwa ni sehemu ya vinasaba vya miili yao. Yaani unahongwa hata kabla mtu hajachukuwa fomu!
mbona sinabahati na watu kama hao
 
Hizi ni ATM angalau kwa miezi hii hadi November!!
 
Hizi ni ATM angalau kwa miezi hii hadi November!!
Nguvu za Magu zimewaweka pagumu sana! Wanahangaika kujitangaza kabla ya muda lakini wapi! Wengina ndo hao wanakurupushwa nyumbani.
 
2015 nilipewa Tsh 20000/= nipande bodaboda nikamchague mgombea wa CCM. nikaichukua ile pesa nikapanda daladala nikaenda kumchagua mgombea wa CHADEMA nikarudi zangu bar nikagonga monde za kutosha.

Nikiwa kanda ya ziwa nilishawahi kukutana na bwana mmoja ambaye alinithibitishia kwamba MAGUFULI aliwahi kumwaga manoti mengi sana wakati anagombea uraisi na yeye yule bwana ni miongoni mwa waliogawa zile pesa. huyu leo anasimama na kusema anaichukia Rushwa
hovyo kabisa hawa
 
Baadhi ya wana CCM wanaotafuta nafasi za Ubunge, wameanza usumbufu. Mimi siyo mwana CCM lakini leo napigiwa na mtu anayejitambulisha ni Mkurugenzi wa Halmashauri na anataka kugombea na anaomba support yangu.

Namuuliza simu yangu kapata wapi? Anaomba niwe mpole tu tuelewane. Nauliza mbona mapema anasema wako wengi kila mtu anatafuta waungaji mkono.

Finally, ameahidi kunirushia elfu 40! Nazisubiri ili niongeze bando la kuchat JF maana naona hawa CCM rushwa ni sehemu ya vinasaba vya miili yao. Yaani unahongwa hata kabla mtu hajachukuwa fomu!
Mkuu wewe mbona uliomba kuungwa mkono kwenye harusi yako hata kabala hujakubaliwa na wazazi wa uliyekuwa unamatamani? Umeleta hoja nzuri lakini kuitaja CCM na kuita rushwa imo kwenye vinasaba vya wana CCM umepotoka
 
2015 nilipewa Tsh 20000/= nipande bodaboda nikamchague mgombea wa CCM. nikaichukua ile pesa nikapanda daladala nikaenda kumchagua mgombea wa CHADEMA nikarudi zangu bar nikagonga monde za kutosha.

Nikiwa kanda ya ziwa nilishawahi kukutana na bwana mmoja ambaye alinithibitishia kwamba MAGUFULI aliwahi kumwaga manoti mengi sana wakati anagombea uraisi na yeye yule bwana ni miongoni mwa waliogawa zile pesa. huyu leo anasimama na kusema anaichukia Rushwa
hovyo kabisa hawa
Hiyo 20000 ya kwako huenda kweli ulipata lakini mahela mengi ya Magufuli ili apate urais ni hapana. Malalamiko ya uchaguzi wa rais yako kwenye vyombo vya dola na siyo mahela mengi. Mengi ya nini?
 
Mkuu wewe mbona uliomba kuungwa mkono kwenye harusi yako hata kabala hujakubaliwa na wazazi wa uliyekuwa unamatamani? Umeleta hoja nzuri lakini kuitaja CCM na kuita rushwa imo kwenye vinasaba vya wana CCM umepotoka
Naamini kufikia siku ya leo, na hasa baada ya kusikiayaliyotokea Arusha, sasa unaweza kuona wana CCM walivyo na roho ya rushwa.
 
Pammoja na kulamba bingo ya elfu 40,lakini majina matatu ndio mtayapigia kura,sasa anajuaje kama hatakatwa juu kwa juu?Au ameisha toa bahasha nzito ngazi ya taifa?
NAsikia wameruhusu utitiri wote tunaouona ukichukuwa fomu. Sasa wote wapaigiwa kura
 
Back
Top Bottom