Mchakato wa kuwapata wabunge this time ni mgumu sana na siyo rahisi kutumia rushwa kabisa, hii ni CCM mpya. Ebu pitia mchakato wa uchaguzi wa majimbo [emoji1313] chini then unambie rushwa itaanzia wapi hapa?
CCM-MCHAKATO WA UCHAGUZI MAJIMBONI 2020
HATUA YA KWANZA
-Kuchukua fomu (Kimyakimya bila mbwembwe)
-Kujaza Fomu
-Kurudisha fomu
-Kujadiliwa na kamati ya siasa wilaya (Wanatoa maoni kwa kila Mgombea, kama wagombea wako 10 au 3 au 7 wote wanatolewa maoni)
-Maoni hayo kwa Majina ya wote waliochukua fomu yanapelekwa Kamati ya siasa Mkoa kujadiliwa.