Kwa hasira unga bundle la mwezi mzimaBaadhi ya wana CCM wanaotafuta nafasi za Ubunge, wameanza usumbufu. Mimi siyo mwana CCM lakini leo napigiwa na mtu anayejitambulisha ni Mkurugenzi wa Halmashauri na anataka kugombea na anaomba support yangu.
Namuuliza simu yangu kapata wapi? Anaomba niwe mpole tu tuelewane. Nauliza mbona mapema anasema wako wengi kila mtu anatafuta waungaji mkono.
Finally, ameahidi kunirushia elfu 40! Nazisubiri ili niongeze bando la kuchat JF maana naona hawa CCM rushwa ni sehemu ya vinasaba vya miili yao. Yaani unahongwa hata kabla mtu hajachukuwa fomu!
Hii ya majina matatu imepitwa na wakati. Subiri tar 11. CCM wanabadilika kila wakati. Nadhani wanajaribu kuyalea matatizo waliyonayo ndani ya chama. Rushwa.Mchakato wa kuwapata wabunge this time ni mgumu sana na siyo rahisi kutumia rushwa kabisa, hii ni CCM mpya. Ebu pitia mchakato wa uchaguzi wa majimbo [emoji1313] chini then unambie rushwa itaanzia wapi hapa?
CCM-MCHAKATO WA UCHAGUZI MAJIMBONI 2020
HATUA YA KWANZA
-Kuchukua fomu (Kimyakimya bila mbwembwe)
-Kujaza Fomu
-Kurudisha fomu
-Kujadiliwa na kamati ya siasa wilaya (Wanatoa maoni kwa kila Mgombea, kama wagombea wako 10 au 3 au 7 wote wanatolewa maoni)
-Maoni hayo kwa Majina ya wote waliochukua fomu yanapelekwa Kamati ya siasa Mkoa kujadiliwa.
CCM ni rushwa na rushwa ni CCMHivi kuna MTU anaweza kuitenga CCM na Rushwa? Kwa mfano, hii ya kuprint form moja pekee, haiwezekani ikatafsiriwa kama Rushwa kama ni kweli??
CCM ndio yao Rushwa
Chukueni pesa hizoBaadhi ya wana CCM wanaotafuta nafasi za Ubunge, wameanza usumbufu. Mimi siyo mwana CCM lakini leo napigiwa na mtu anayejitambulisha ni Mkurugenzi wa Halmashauri na anataka kugombea na anaomba support yangu.
Namuuliza simu yangu kapata wapi? Anaomba niwe mpole tu tuelewane. Nauliza mbona mapema anasema wako wengi kila mtu anatafuta waungaji mkono.
Finally, ameahidi kunirushia elfu 40! Nazisubiri ili niongeze bando la kuchat JF maana naona hawa CCM rushwa ni sehemu ya vinasaba vya miili yao. Yaani unahongwa hata kabla mtu hajachukuwa fomu!
Yataka moyo kuziachia maana niliona kama pesa hazihitaji sanitization ya corona. ila kura hapati!Pesa zingine ni kuleta gundu tuu kwenye maisha yako.
Kula za hawa wanao UA mpaka ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi ni matatizo matupu.
mbona sinabahati na watu kama haoBaadhi ya wana CCM wanaotafuta nafasi za Ubunge, wameanza usumbufu. Mimi siyo mwana CCM lakini leo napigiwa na mtu anayejitambulisha ni Mkurugenzi wa Halmashauri na anataka kugombea na anaomba support yangu.
Namuuliza simu yangu kapata wapi? Anaomba niwe mpole tu tuelewane. Nauliza mbona mapema anasema wako wengi kila mtu anatafuta waungaji mkono.
Finally, ameahidi kunirushia elfu 40! Nazisubiri ili niongeze bando la kuchat JF maana naona hawa CCM rushwa ni sehemu ya vinasaba vya miili yao. Yaani unahongwa hata kabla mtu hajachukuwa fomu!
Nguvu za Magu zimewaweka pagumu sana! Wanahangaika kujitangaza kabla ya muda lakini wapi! Wengina ndo hao wanakurupushwa nyumbani.Hizi ni ATM angalau kwa miezi hii hadi November!!
Mkuu wewe mbona uliomba kuungwa mkono kwenye harusi yako hata kabala hujakubaliwa na wazazi wa uliyekuwa unamatamani? Umeleta hoja nzuri lakini kuitaja CCM na kuita rushwa imo kwenye vinasaba vya wana CCM umepotokaBaadhi ya wana CCM wanaotafuta nafasi za Ubunge, wameanza usumbufu. Mimi siyo mwana CCM lakini leo napigiwa na mtu anayejitambulisha ni Mkurugenzi wa Halmashauri na anataka kugombea na anaomba support yangu.
Namuuliza simu yangu kapata wapi? Anaomba niwe mpole tu tuelewane. Nauliza mbona mapema anasema wako wengi kila mtu anatafuta waungaji mkono.
Finally, ameahidi kunirushia elfu 40! Nazisubiri ili niongeze bando la kuchat JF maana naona hawa CCM rushwa ni sehemu ya vinasaba vya miili yao. Yaani unahongwa hata kabla mtu hajachukuwa fomu!
Hiyo 20000 ya kwako huenda kweli ulipata lakini mahela mengi ya Magufuli ili apate urais ni hapana. Malalamiko ya uchaguzi wa rais yako kwenye vyombo vya dola na siyo mahela mengi. Mengi ya nini?2015 nilipewa Tsh 20000/= nipande bodaboda nikamchague mgombea wa CCM. nikaichukua ile pesa nikapanda daladala nikaenda kumchagua mgombea wa CHADEMA nikarudi zangu bar nikagonga monde za kutosha.
Nikiwa kanda ya ziwa nilishawahi kukutana na bwana mmoja ambaye alinithibitishia kwamba MAGUFULI aliwahi kumwaga manoti mengi sana wakati anagombea uraisi na yeye yule bwana ni miongoni mwa waliogawa zile pesa. huyu leo anasimama na kusema anaichukia Rushwa
hovyo kabisa hawa
Naamini kufikia siku ya leo, na hasa baada ya kusikiayaliyotokea Arusha, sasa unaweza kuona wana CCM walivyo na roho ya rushwa.Mkuu wewe mbona uliomba kuungwa mkono kwenye harusi yako hata kabala hujakubaliwa na wazazi wa uliyekuwa unamatamani? Umeleta hoja nzuri lakini kuitaja CCM na kuita rushwa imo kwenye vinasaba vya wana CCM umepotoka
NAsikia wameruhusu utitiri wote tunaouona ukichukuwa fomu. Sasa wote wapaigiwa kuraPammoja na kulamba bingo ya elfu 40,lakini majina matatu ndio mtayapigia kura,sasa anajuaje kama hatakatwa juu kwa juu?Au ameisha toa bahasha nzito ngazi ya taifa?