Prosper C Manasse
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 635
- 690
- Thread starter
-
- #21
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] basi mjifunze kwa wakubwa ili mpate barakaJf kila mtu anajiona mkubwa kiumri especial wewe mtoa mada.
embu fikiri.. kama kutakuwa hakuna kizazi kinachokuja na kurithi unafikiri nyie mnaojiona wakubwa kiumri mkishakufa na Jf si ndio itakuwa imekufa?
au tugome tuwaachie mtandao wenu nyie mnaojiita wakubwa kiumri mtumie wenyewe? (just kidding)
Ha ha ha ha ha haaaa[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Sijui Tukipe Jina Kizazi Gani Maana Naona Kinazidi Cha Nyoka [emoji102]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] Jf bhanaaa..[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] basi mjifunze kwa wakubwa ili mpate baraka
Na hapo ndo wanapokoseaAkili Wameiacha Nyuma Na Ndiyo Ilowapeleka Shule Na Kuwafikisha Walipo. Wanataka Kila Kila Unachoandika Kilenge Mitazamo Yao Vile Vile.
True Mkuu Watu Tunapenda Kutafuta Kick Kwa Matusi Na Kuwadharau Wengine.Mara nyingi wapungaji au watukanaji unakuta post inamlenga moja kwa moja
Kaka Kwa Hii Lazima Wapite Kimya Kimya, Halafu Watu Hao Washazoea Mada Za Kichochezi Ndio Wachangia Au Waandike Nyuzi Lakn Zakujenga Wala.Duu nimejikuta natoa like kwa kila aliyechangia hii mada...hongera sana Manase kwa mada nzuri sana...mimi ni muathirika mkubwa sana wa hao jamaa...naamini leo watapita kimyakimya hapa
[emoji102] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Kweli Mkuu Hili Nalo Ni Jipu.Thanks, sir...
I love this... I remember once I read from someone, said "uovu na maovu yanayotokea, si kwa sababu ya kuongezeka kwa watenda maovu ila kukaa kimya kwa watenda mema"...
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Mkuu, Mimi nilitengeneza uzi wangu, nikawataja hao watu ambao wapo wapo tu kwa majina yao. Ingawa nimejaribu kuangalia naona umefutwa."Kuingia darasani sio kwenda shule"
Falsafa hii inathibitika pale yule anayejiita msomi anaposhindwa kujitambua katika jamii wakati jamii inamtambua kama msomi.
Napenda kutoa pongezi kwa wana JF wote wanaojitambua na kutimiza wajibu wao kwa nafasi zao katika jamii ikiwemo kulitumia jukwaa hili vyema ipasavyo.
Chakushangaza mambo haya hufanywa na watu wanajiita wasomi na pia ni watu ambao hutegemea kuitwa viongozi katika jamii yetu.
Sheria za jukwaa zipo wazi kuhusu kuzuia matusi, kejeli ama kusanifu watu na mambo mengine kama hayo lakini watu tumekuwa wajinga japo tunajiita wasomi.
Jambo ambalo tunapaswa kulitambua ni kwamba,
"The threads u post identfy urself while ur comments determines ur thinking capacity.
Kutokana na wengi wetu kutumia majina feki tumejikuta tunafanya vitu ambavyo si vyema na kujikosea heshima lakini kutumia jina feki kwa kujificha ili kutusi, kukejeli, kudharau, kutapeli na mengineyo, hakuondoi uhalisia wako zaidi ya kujitia aibu moyoni mwako mwenyewe.
Nini tatzo la wengi wetu.
Wengi wetu huwa hatupost chochote lakini tunasubiri wengine wapost ili tuwatusi, tuwakosoe, tuwaite wajinga, matapeli, hawajasoma na mengineyo.
Sasa kama wewe si mjinga wala si tapeli na pia umesoma sana, mbona hatuoni post yako hata moja japo hatq mara moja tu kwa mwezi?
Matokeo yake unaishia kuona post za wengine za kijinga kwa kukoment matusi ama maneno ya dharau kwa wengine.
Nini tofauti zetu humu.
Tofauti kubwa chache na muhimu ambazo watu wachache tunazo na wengi wetu hatuna zipo katika mambo machache sana lakn muhimu.
Kujitambua,
Nidhamu
Hekima,
Busara,
Yote haya hayapatikani darasani bali hutokana na uzoefu wa maisha pamoja na hofu ya Mungu.
So kama mimi nawe hatuna mambo hayo tajwa hapo juu lakini tunaelimu kubwa na pesa nyingi, basi elimu na pesa zetu zinatusaidia tu kupata ugali na lakini jamii ilojaa welevu bado itatuona wajinga tusiye maana.
Nini tunakaribiana ama kulingana.
Ukiangalia kwa haraka, wengi wetu humu tunalingana ama kutofautiana kwa mstari mwembamba sana kama vile.
*Viwango vya elimu,(taaluma)
*Vipato vyetu,
*Makazi,
*Uelewa,
Yote hayo tunakaribiana, sasa inakuwaje umuone mwenzako mjiiinga eti kisa hukubalianinae?
*Wapo kwao wanaitwa wajinga hapa.
*Wapo ambao walishatelekeza familia zao kwa anasa.
*Wapo walochezea fursa kama vile tuwaonavyo baadhi ya PHD hoders wajinga.
Wapo ambao hukosoa wengine lakini maisha yao magumu.
Lakini tukikutana humu kia mmoja wetu anajifanya anajua kukosoa na kuwaona wengine wajinga badala ya kujifunza jambo na na kutoa mchango wenye tija jukwaani.
Nidhamu inamisingi mitatu.
1. Kujitambua.
2. Kusoma mazingira na alama za nyakati.
3. Kufuata maelekezo.
Ukikosa moja kati ya misingi hiyo ni lazima utakuwa mtovu wa nidhamu katika nyanja zote.
WanaJF, thibitisheni elimu zenu kwa kuzingatia misingi mi3 ya nidhamu ambayo itawapa faida ya kuwa waadifu katika jamii, pia msisahau kuwa na hofu ya Mungu ambayo itawapa faida ya hekima na busara ili tuisaidie jamii kwa elimu au pesa tulizonalo badala ya kuacha mambo muhimu na kuwatolea wengine matusi.
Si vyema kuudharirisha utu wako na nafasi yako kwa kuwatusi wengine, kumbuka kabla ya elimu ulonayo ulipewa akili so usiidharau na kuidharirisha akili yako kwa kigezo cha kuitanguliza elimu yako.Kama wewe ni mmoja wao na nimekukwaza basi pole maana ukweli ndiyo pekee husimama pekee bila support.
Bahati nzuri bado upo"Kuingia darasani sio kwenda shule"
Falsafa hii inathibitika pale yule anayejiita msomi anaposhindwa kujitambua katika jamii wakati jamii inamtambua kama msomi.
Napenda kutoa pongezi kwa wana JF wote wanaojitambua na kutimiza wajibu wao kwa nafasi zao katika jamii ikiwemo kulitumia jukwaa hili vyema ipasavyo.
Chakushangaza mambo haya hufanywa na watu wanajiita wasomi na pia ni watu ambao hutegemea kuitwa viongozi katika jamii yetu.
Sheria za jukwaa zipo wazi kuhusu kuzuia matusi, kejeli ama kusanifu watu na mambo mengine kama hayo lakini watu tumekuwa wajinga japo tunajiita wasomi.
Jambo ambalo tunapaswa kulitambua ni kwamba,
"The threads u post identfy urself while ur comments determines ur thinking capacity.
Kutokana na wengi wetu kutumia majina feki tumejikuta tunafanya vitu ambavyo si vyema na kujikosea heshima lakini kutumia jina feki kwa kujificha ili kutusi, kukejeli, kudharau, kutapeli na mengineyo, hakuondoi uhalisia wako zaidi ya kujitia aibu moyoni mwako mwenyewe.
Nini tatzo la wengi wetu.
Wengi wetu huwa hatupost chochote lakini tunasubiri wengine wapost ili tuwatusi, tuwakosoe, tuwaite wajinga, matapeli, hawajasoma na mengineyo.
Sasa kama wewe si mjinga wala si tapeli na pia umesoma sana, mbona hatuoni post yako hata moja japo hatq mara moja tu kwa mwezi?
Matokeo yake unaishia kuona post za wengine za kijinga kwa kukoment matusi ama maneno ya dharau kwa wengine.
Nini tofauti zetu humu.
Tofauti kubwa chache na muhimu ambazo watu wachache tunazo na wengi wetu hatuna zipo katika mambo machache sana lakn muhimu.
Kujitambua,
Nidhamu
Hekima,
Busara,
Yote haya hayapatikani darasani bali hutokana na uzoefu wa maisha pamoja na hofu ya Mungu.
So kama mimi nawe hatuna mambo hayo tajwa hapo juu lakini tunaelimu kubwa na pesa nyingi, basi elimu na pesa zetu zinatusaidia tu kupata ugali na lakini jamii ilojaa welevu bado itatuona wajinga tusiye maana.
Nini tunakaribiana ama kulingana.
Ukiangalia kwa haraka, wengi wetu humu tunalingana ama kutofautiana kwa mstari mwembamba sana kama vile.
*Viwango vya elimu,(taaluma)
*Vipato vyetu,
*Makazi,
*Uelewa,
Yote hayo tunakaribiana, sasa inakuwaje umuone mwenzako mjiiinga eti kisa hukubalianinae?
*Wapo kwao wanaitwa wajinga hapa.
*Wapo ambao walishatelekeza familia zao kwa anasa.
*Wapo walochezea fursa kama vile tuwaonavyo baadhi ya PHD hoders wajinga.
Wapo ambao hukosoa wengine lakini maisha yao magumu.
Lakini tukikutana humu kia mmoja wetu anajifanya anajua kukosoa na kuwaona wengine wajinga badala ya kujifunza jambo na na kutoa mchango wenye tija jukwaani.
Nidhamu inamisingi mitatu.
1. Kujitambua.
2. Kusoma mazingira na alama za nyakati.
3. Kufuata maelekezo.
Ukikosa moja kati ya misingi hiyo ni lazima utakuwa mtovu wa nidhamu katika nyanja zote.
WanaJF, thibitisheni elimu zenu kwa kuzingatia misingi mi3 ya nidhamu ambayo itawapa faida ya kuwa waadifu katika jamii, pia msisahau kuwa na hofu ya Mungu ambayo itawapa faida ya hekima na busara ili tuisaidie jamii kwa elimu au pesa tulizonalo badala ya kuacha mambo muhimu na kuwatolea wengine matusi.
Si vyema kuudharirisha utu wako na nafasi yako kwa kuwatusi wengine, kumbuka kabla ya elimu ulonayo ulipewa akili so usiidharau na kuidharirisha akili yako kwa kigezo cha kuitanguliza elimu yako.Kama wewe ni mmoja wao na nimekukwaza basi pole maana ukweli ndiyo pekee husimama pekee bila support.
Mkuu, hilo tatizo lilianza wakati wa kampeni kuelekea uchaguzi.Umenena vema Mkuu! Ila hawa wanaotukana Ni Rika flani Hivi, Ni kizazi kilichoanza kutumia mtandao Ni Miaka miwili iliyopita.
Ukirudi Nyuma Miaka miwili , tuseme hata 2013 JF haikua Hivi Kabisa. Kuna kizazi tu kimeibuka Hivi karibuni kinatuharibia!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Wakati Mwingine Ukweli Huwa Unachukiwa Mkuu Japo Lazima Tuuongee Maana Hatuna Namna.Mkuu, Mimi nilitengeneza uzi wangu, nikawataja hao watu ambao wapo wapo tu kwa majina yao. Ingawa nimejaribu kuangalia naona umefutwa.
Niliuuta," I have made a shocking discovery, many people in JF are suffering from psychosis"
The truth has strange ways of catching up with reality or people. I am glad I was the one who spilled the beans[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Wakati Mwingine Ukweli Huwa Unachukiwa Mkuu Japo Lazima Tuuongee Maana Hatuna Namna.