Baadhi ya wana JF shule hawajaenda japo darasani wameingia

Baadhi ya wana JF shule hawajaenda japo darasani wameingia

Jf kila mtu anajiona mkubwa kiumri especial wewe mtoa mada.
embu fikiri.. kama kutakuwa hakuna kizazi kinachokuja na kurithi unafikiri nyie mnaojiona wakubwa kiumri mkishakufa na Jf si ndio itakuwa imekufa?

au tugome tuwaachie mtandao wenu nyie mnaojiita wakubwa kiumri mtumie wenyewe? (just kidding)
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] basi mjifunze kwa wakubwa ili mpate baraka
 
Duu nimejikuta natoa like kwa kila aliyechangia hii mada...hongera sana Manase kwa mada nzuri sana...mimi ni muathirika mkubwa sana wa hao jamaa...naamini leo watapita kimyakimya hapa
Kaka Kwa Hii Lazima Wapite Kimya Kimya, Halafu Watu Hao Washazoea Mada Za Kichochezi Ndio Wachangia Au Waandike Nyuzi Lakn Zakujenga Wala.

Sipendi Hii Tabia Hata Adimin Na Wengine Walojaliwa Hekima Hata Chembe Hawapendi Pia.

Tuendelee Kuwaombea May Watabadilika.
 
Thanks, sir...

I love this... I remember once I read from someone, said "uovu na maovu yanayotokea, si kwa sababu ya kuongezeka kwa watenda maovu ila kukaa kimya kwa watenda mema"...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
[emoji102] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Kweli Mkuu Hili Nalo Ni Jipu.
 
"Kuingia darasani sio kwenda shule"

Falsafa hii inathibitika pale yule anayejiita msomi anaposhindwa kujitambua katika jamii wakati jamii inamtambua kama msomi.

Napenda kutoa pongezi kwa wana JF wote wanaojitambua na kutimiza wajibu wao kwa nafasi zao katika jamii ikiwemo kulitumia jukwaa hili vyema ipasavyo.

Chakushangaza mambo haya hufanywa na watu wanajiita wasomi na pia ni watu ambao hutegemea kuitwa viongozi katika jamii yetu.

Sheria za jukwaa zipo wazi kuhusu kuzuia matusi, kejeli ama kusanifu watu na mambo mengine kama hayo lakini watu tumekuwa wajinga japo tunajiita wasomi.

Jambo ambalo tunapaswa kulitambua ni kwamba,

"The threads u post identfy urself while ur comments determines ur thinking capacity.

Kutokana na wengi wetu kutumia majina feki tumejikuta tunafanya vitu ambavyo si vyema na kujikosea heshima lakini kutumia jina feki kwa kujificha ili kutusi, kukejeli, kudharau, kutapeli na mengineyo, hakuondoi uhalisia wako zaidi ya kujitia aibu moyoni mwako mwenyewe.

Nini tatzo la wengi wetu.

Wengi wetu huwa hatupost chochote lakini tunasubiri wengine wapost ili tuwatusi, tuwakosoe, tuwaite wajinga, matapeli, hawajasoma na mengineyo.

Sasa kama wewe si mjinga wala si tapeli na pia umesoma sana, mbona hatuoni post yako hata moja japo hatq mara moja tu kwa mwezi?

Matokeo yake unaishia kuona post za wengine za kijinga kwa kukoment matusi ama maneno ya dharau kwa wengine.

Nini tofauti zetu humu.

Tofauti kubwa chache na muhimu ambazo watu wachache tunazo na wengi wetu hatuna zipo katika mambo machache sana lakn muhimu.

Kujitambua,

Nidhamu

Hekima,

Busara,

Yote haya hayapatikani darasani bali hutokana na uzoefu wa maisha pamoja na hofu ya Mungu.

So kama mimi nawe hatuna mambo hayo tajwa hapo juu lakini tunaelimu kubwa na pesa nyingi, basi elimu na pesa zetu zinatusaidia tu kupata ugali na lakini jamii ilojaa welevu bado itatuona wajinga tusiye maana.

Nini tunakaribiana ama kulingana.

Ukiangalia kwa haraka, wengi wetu humu tunalingana ama kutofautiana kwa mstari mwembamba sana kama vile.

*Viwango vya elimu,(taaluma)

*Vipato vyetu,

*Makazi,

*Uelewa,

Yote hayo tunakaribiana, sasa inakuwaje umuone mwenzako mjiiinga eti kisa hukubalianinae?

*Wapo kwao wanaitwa wajinga hapa.

*Wapo ambao walishatelekeza familia zao kwa anasa.

*Wapo walochezea fursa kama vile tuwaonavyo baadhi ya PHD hoders wajinga.

Wapo ambao hukosoa wengine lakini maisha yao magumu.

Lakini tukikutana humu kia mmoja wetu anajifanya anajua kukosoa na kuwaona wengine wajinga badala ya kujifunza jambo na na kutoa mchango wenye tija jukwaani.

Nidhamu inamisingi mitatu.

1. Kujitambua.

2. Kusoma mazingira na alama za nyakati.

3. Kufuata maelekezo.

Ukikosa moja kati ya misingi hiyo ni lazima utakuwa mtovu wa nidhamu katika nyanja zote.

WanaJF, thibitisheni elimu zenu kwa kuzingatia misingi mi3 ya nidhamu ambayo itawapa faida ya kuwa waadifu katika jamii, pia msisahau kuwa na hofu ya Mungu ambayo itawapa faida ya hekima na busara ili tuisaidie jamii kwa elimu au pesa tulizonalo badala ya kuacha mambo muhimu na kuwatolea wengine matusi.

Si vyema kuudharirisha utu wako na nafasi yako kwa kuwatusi wengine, kumbuka kabla ya elimu ulonayo ulipewa akili so usiidharau na kuidharirisha akili yako kwa kigezo cha kuitanguliza elimu yako.Kama wewe ni mmoja wao na nimekukwaza basi pole maana ukweli ndiyo pekee husimama pekee bila support.
Mkuu, Mimi nilitengeneza uzi wangu, nikawataja hao watu ambao wapo wapo tu kwa majina yao. Ingawa nimejaribu kuangalia naona umefutwa.


Niliuuta," I have made a shocking discovery, many people in JF are suffering from psychosis"
 
"Kuingia darasani sio kwenda shule"

Falsafa hii inathibitika pale yule anayejiita msomi anaposhindwa kujitambua katika jamii wakati jamii inamtambua kama msomi.

Napenda kutoa pongezi kwa wana JF wote wanaojitambua na kutimiza wajibu wao kwa nafasi zao katika jamii ikiwemo kulitumia jukwaa hili vyema ipasavyo.

Chakushangaza mambo haya hufanywa na watu wanajiita wasomi na pia ni watu ambao hutegemea kuitwa viongozi katika jamii yetu.

Sheria za jukwaa zipo wazi kuhusu kuzuia matusi, kejeli ama kusanifu watu na mambo mengine kama hayo lakini watu tumekuwa wajinga japo tunajiita wasomi.

Jambo ambalo tunapaswa kulitambua ni kwamba,

"The threads u post identfy urself while ur comments determines ur thinking capacity.

Kutokana na wengi wetu kutumia majina feki tumejikuta tunafanya vitu ambavyo si vyema na kujikosea heshima lakini kutumia jina feki kwa kujificha ili kutusi, kukejeli, kudharau, kutapeli na mengineyo, hakuondoi uhalisia wako zaidi ya kujitia aibu moyoni mwako mwenyewe.

Nini tatzo la wengi wetu.

Wengi wetu huwa hatupost chochote lakini tunasubiri wengine wapost ili tuwatusi, tuwakosoe, tuwaite wajinga, matapeli, hawajasoma na mengineyo.

Sasa kama wewe si mjinga wala si tapeli na pia umesoma sana, mbona hatuoni post yako hata moja japo hatq mara moja tu kwa mwezi?

Matokeo yake unaishia kuona post za wengine za kijinga kwa kukoment matusi ama maneno ya dharau kwa wengine.

Nini tofauti zetu humu.

Tofauti kubwa chache na muhimu ambazo watu wachache tunazo na wengi wetu hatuna zipo katika mambo machache sana lakn muhimu.

Kujitambua,

Nidhamu

Hekima,

Busara,

Yote haya hayapatikani darasani bali hutokana na uzoefu wa maisha pamoja na hofu ya Mungu.

So kama mimi nawe hatuna mambo hayo tajwa hapo juu lakini tunaelimu kubwa na pesa nyingi, basi elimu na pesa zetu zinatusaidia tu kupata ugali na lakini jamii ilojaa welevu bado itatuona wajinga tusiye maana.

Nini tunakaribiana ama kulingana.

Ukiangalia kwa haraka, wengi wetu humu tunalingana ama kutofautiana kwa mstari mwembamba sana kama vile.

*Viwango vya elimu,(taaluma)

*Vipato vyetu,

*Makazi,

*Uelewa,

Yote hayo tunakaribiana, sasa inakuwaje umuone mwenzako mjiiinga eti kisa hukubalianinae?

*Wapo kwao wanaitwa wajinga hapa.

*Wapo ambao walishatelekeza familia zao kwa anasa.

*Wapo walochezea fursa kama vile tuwaonavyo baadhi ya PHD hoders wajinga.

Wapo ambao hukosoa wengine lakini maisha yao magumu.

Lakini tukikutana humu kia mmoja wetu anajifanya anajua kukosoa na kuwaona wengine wajinga badala ya kujifunza jambo na na kutoa mchango wenye tija jukwaani.

Nidhamu inamisingi mitatu.

1. Kujitambua.

2. Kusoma mazingira na alama za nyakati.

3. Kufuata maelekezo.

Ukikosa moja kati ya misingi hiyo ni lazima utakuwa mtovu wa nidhamu katika nyanja zote.

WanaJF, thibitisheni elimu zenu kwa kuzingatia misingi mi3 ya nidhamu ambayo itawapa faida ya kuwa waadifu katika jamii, pia msisahau kuwa na hofu ya Mungu ambayo itawapa faida ya hekima na busara ili tuisaidie jamii kwa elimu au pesa tulizonalo badala ya kuacha mambo muhimu na kuwatolea wengine matusi.

Si vyema kuudharirisha utu wako na nafasi yako kwa kuwatusi wengine, kumbuka kabla ya elimu ulonayo ulipewa akili so usiidharau na kuidharirisha akili yako kwa kigezo cha kuitanguliza elimu yako.Kama wewe ni mmoja wao na nimekukwaza basi pole maana ukweli ndiyo pekee husimama pekee bila support.
Bahati nzuri bado upo

https://www.jamiiforums.com/threads...s-in-jf-are-suffering-from-psychosis.1019789/
 
Anyway!Unafiki ni kitu kibaya sana imefikia mahali jamii ya kitanzania iwe real sio kujificha na usanii mwingi kuna hoja kwa mleta post ila naomba akemee hadi mtaani sio humu tu! kwa sababu manake....................
 
Mkuu, Mimi nilitengeneza uzi wangu, nikawataja hao watu ambao wapo wapo tu kwa majina yao. Ingawa nimejaribu kuangalia naona umefutwa.


Niliuuta," I have made a shocking discovery, many people in JF are suffering from psychosis"
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Wakati Mwingine Ukweli Huwa Unachukiwa Mkuu Japo Lazima Tuuongee Maana Hatuna Namna.
 
ImageUploadedByJamiiForums1459360632.768991.jpg
 
Back
Top Bottom