ustadhijuma
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 3,021
- 1,978
- Thread starter
- #21
daah huyu jamaa kibokoo Usiku huu saa 8 nimemkamata mchawi yupo uchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata mimi nashangaa si alikufa huyo?Puppa huyo sio ID ya yule marehemu
CchaiSalaam wakuu,
Hivi mnaofanya hivyo mnapata faida gani kwa kutunga stori za uongo uongo? Mara umeachana na mke kisa kakunyima kipochi manyoya na wengine sijui mmemkula mama mkwe! Acheni hizoo bhanaa.
Tuwataje kwa majina watunga stories za uongo wote.
Mimi naanza na puppa
Duuhhata mimi nashangaa si alikufa huyo?
Ukiona hivyo mtu ana tatizo la ugonjwa wa akili awahi mirembeSalaam wakuu,
Hivi mnaofanya hivyo mnapata faida gani kwa kutunga stori za uongo uongo? Mara umeachana na mke kisa kakunyima kipochi manyoya na wengine sijui mmemkula mama mkwe! Acheni hizoo bhanaa.
Tuwataje kwa majina watunga stories za uongo wote.
Mimi naanza na puppa