Jina la Mboro sio matusi kwa Wachaga bali ni ukoo tena mkubwa sana. Mbona wahindi wana majina kama ****, na Wajapani ndio zaidi kwani wanaye **** Moto. Jina linakuwa najisi kwako weye mwenye mawazo najisiInfantry Soldier, Duu sijawahi kusikia mswahili anaitwa majina haya
Nimeona mkuu
Jina la Mboro sio matusi kwa Wachaga bali ni ukoo tena mkubwa sana. Mbona wahindi wana majina kama ****, na Wajapani ndio zaidi kwani wanaye **** Moto. Jina linakuwa najisi kwako weye mwenye mawazo najisi
Wachagga wangekuwa hawana ufahamu wa lugha ya kiswahili basi hilo jina Mboro lisingekuwa na ukakasi wowote.Jina linakuwa najisi kwako weye mwenye mawazo najisi
Ninaona ulianza na accusations kwangu kwanza
PoaHapana Mkuu siwezi kufanya hivyo bali wewe pia umeleta tu kama uzi ili tuchangie
Ninamaanisha kwamba, matamshi ya kwenu kwa wengine ni matusi makuubwa sana. Sasa ukisikia wenzako wakitamka ukachukulia matusi mabaya huoni utateseka sana?? Usikimbilie mabaya tu ona kuwa na mengine ni memaSawa nimekuelewa ila sentensi hiyo ya mwisho ya najisi ndio nimeshindwa kuelewa una maana gani
Mchaga gani ana ufahamu wa kiswahili? Mbona hawatumii majina mabaya kama wangelikuwa hawana ufahamu? Kule Congo drc tunakuta Mvua wao huita mbula kwa nini mchaga asimwite mtoto jina hilo?Wachagga wangekuwa hawana ufahamu wa lugha ya kiswahili basi hilo jina Mboro lisingekuwa na ukakasi wowote.
Unapoongelea wajapan pamoja na wahindi wao hawana ufahamu wa kiswahili hivyo hayo majina hayana shida kwao
Sema huo ukoo wa Matamko ni wengi sana😀😀😀Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JF. Mimi mdogo wenu nipo mzima pia. Ukiangalia screenshots hapo chini, kuna baadhi ya majina nimefanya highlighting kwa rangi ya orange. Hizo surnames ndio mimi naona ni tatizo kubwa sana. Ninahisi something must be done wakati wa uandikishaji wa wanafunzi....
Kiungo chako kitakuwaje tusiMbolo ni tusi mboro sio tusi
mhhh aiseeKiungo chako kitakuwaje tusi
Nimestaajabu sanaSema huo ukoo wa Matamko ni wengi sana😀😀😀
That's for sure bro...Kumpa mtoto jina kama hayo unakuwa practically umemlaani.
Utafiti umefanyika Rais Magufuli atashinda kwa 98% Miaka mitano tu Rais Magufuli ametupeleka uchumi wa kati miaka mitano ijayo, Rais Magufuli atatufanya tuwe kama Qatar.Dahhh ni hapahapa Tanzania?majina kama yakizulu...
mmhhh...Sawa UVCCM...Utafiti umefanyika Rais Magufuli atashinda kwa 98%
Rais Magufuli amefanya mambo makubwa mazuri kwa muda mfupi wa utawala wake.@duuuuh hii ni hatari sana ndugu yangu
Kinachowafanya Wapinzani waweseke ni Kwasababu Rais Magufuli ame wa outsmart kwa kila kitu."Bwege" sio offensive sana mkuu kama hayo mengine kama mk**nd* ama Matak***
Inategemea umri wa jina na umri wa mtu na umr na umri wa maana ya hilo jinaMbona majina ni ya dini moja
Hapo kuna ukakasi
Siamini ni majina yao bali kuna mbaguzi kayaandika kwa makusudi
Mbona hatujawahi kuyaona hayo majina zamani?
Babu yupi huyo anaweza kukubali jina lake likawa hilo miaka yote hii
Editing siku hizi na chuki zitalipeka taifa kubaya