Baadhi ya wanajeshi wa SADC warudishwa nchi wanazotokea, kupitia Rwanda

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
350
Reaction score
576
Mida ya saa moja kasoro robo, leo hii tarehe 24 Februari 2025, badhi ya wanajeshi wa SADC waliokuwa Goma, kwenye mission ya SAMIDRC, wamepitia mpaka mkubwa wa Goma na Rubavu, wakirudi makwao.

Ni baada ya kuwepo DRC kulisaidia jeshi la serikali ya Congo (FARDC) kukabiliana na kundi la M23, lakini wakashindwa na kupepeza bendela nyeupe.

Wanajeshi 194, ndo waliopita mpakani hapo. 129, wakiwa wa South Africa; 40 wakiwa wa Malawi, na 25 wa Tanzania.

Wengi wa Afrika kusini wakiwa majeruhi, huku 5 hali zao zikiwa mbaya.

Kutoka mpakani mpaka Kigali, wamesindikizwa na jeshi la Rwanda.
 
Kwa nini wanaondoa wanajeshi wa SADC??
 
Kwa nini wanaondoa wanajeshi wa SADC??
1. Kazi iliyowapeleka iliwashinda
2. Kumbuka, hawa wote ni mateka wa M23.
3. Wanafika 1000 wote. Waliotangulizwa ni majeruhi na wailowasindikiza. Wengine bado wapo chini ya uangalizi wa M23
4. Wanawake 2 kutoka South Africa, walipata ajali baada ya matumizi mabaya ya sehemu zao za siri.
5. Inasemekana Tanzania, wote wametoka.
 
Wewe ndiye msemaji wa M23 humu JF?...
 
Kwa nini tanzania watoke wote na hakuna majeruhi?
 
Basi leta Scania utupeleke huko. Na vipi kuhusu wewe mu FDLR? Vidonda bado vinauma!! Pole
FDLR ni 'myth' tu kwa Sasa.....

Hicho kisingizio chenu Dunia imeshakishtukia.

Ondoeni hao RDF ndani ya Congo, raia waishi kwa amani.
 
Tunashukuru kwa taarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…