Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Mtatoka tu mpende msipende...Ndo hawaondoki sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtatoka tu mpende msipende...Ndo hawaondoki sasa
Sijaelewa hapa fafanua mkuu.4. Wanawake 2 kutoka South Africa, walipata ajali baada ya matumizi mabaya ya sehemu zao za siri.
😁😁😁4. Wanawake 2 kutoka South Africa, walipata ajali baada ya matumizi mabaya ya sehemu zao za siri.
Endelea kuomba nisiwe rais,ila nikiwa rais,nyie M23 nitawageuza nyama choma wapuuzi nyinyi.Mida ya saa moja kasoro robo, leo hii tarehe 24 Februari 2025, badhi ya wanajeshi wa SADC waliokuwa Goma, kwenye mission ya SAMIDRC, wamepitia mpaka mkubwa wa Goma na Rubavu, wakirudi makwao.
Ni baada ya kuwepo DRC kulisaidia jeshi la serikali ya Congo (FARDC) kukabiliana na kundi la M23, lakini wakashindwa na kupepeza bendela nyeupe.
Wanajeshi 194, ndo waliopita mpakani hapo. 129, wakiwa wa South Africa; 40 wakiwa wa Malawi, na 25 wa Tanzania.
Wengi wa Afrika kusini wakiwa majeruhi, huku 5 hali zao zikiwa mbaya.
Kutoka mpakani mpaka Kigali, wamesindikizwa na jeshi la Rwanda.
Kuwa rais wa ndoto, ufanikishe jambo lakoEndelea kuomba nisiwe rais,ila nikiwa rais,nyie M23 nitawageuza nyama choma wapuuzi nyinyi.
Hhahahahahaha ni kwamba 2 kati ya wanawake wa South Afrika, wanawake, wamerudi kwao wakiwa wajawazito. Yaani mimba walipata huko DRC, kwenye missionSijaelewa hapa fafanua mkuu.
Tusubiri tu.Kuwa rais wa ndoto, ufanikishe jambo lako
Lakini ukumbuke Rais haendagi vitani.Tusubiri tu.