Hiyo klabu ina mataahira wengi sana mkuu,hadi aibu unaona weweKwanini mbumbumbu mlipe tafsiri neno kwa matakwa yenu na sio kwa lugha ya alieweka hilo neno?
Ni sawa na ile timu inaitwa kumamoto iamue kufupisha jina lake halafu kibongo iwe gumzo.
Daaah mwanangu huwa unanifurahisha sanaππππππWatajijua wenyewe..
SANDA tunayo na tunazurura nayo
#Vitenge fc mpoo??#
Ubaya ubwela
Mwanangu hebu jipigilie SANDA nikutoe out Leo πΉπΉWatajijua wenyewe..
SANDA tunayo na tunazurura nayo
#Vitenge fc mpoo??#
Ubaya ubwela
inakuuma ila unavumilia .πWatajijua wenyewe..
SANDA tunayo na tunazurura nayo
#Vitenge fc mpoo??#
Ubaya ubwela
Ninazo tatu unataka nivae ya rangi gani tumechishe na batiki lako...Mwanangu hebu jipigilie SANDA nikutoe out Leo πΉπΉ
Sio sahihi, hao ndio WadhaminiBaadhi ya Mashabiki wa Simba wameondoa neno SANDA ambalo lipo kwenye jezi mpya ambayo imetambulishwa kuwa jezi ya msimu wa 2024/25.
Unadhani ni sahihi kufanya hivyo?View attachment 3054590
Nini inauma...mimi nilishasema hilo neno halifichi uzuri wa jezi ya mnyama...ni kifupi cha jina...kama ww ujiite "NZY" ππinakuuma ila unavumilia .π
Mwanangu jipigilie hili lenye mahadhi ya Mwa40Ninazo tatu unataka nivae ya rangi gani tumechishe na batiki lako...
Yani hyo ina shinee mnoo na ...na ww ukivaa na hiiiMwanangu jipigilie hili lenye mahadhi ya Mwa40
View attachment 3054663