Baadhi ya wanasimba wameondoa neno SANDA kwenye jezi zao

Baadhi ya wanasimba wameondoa neno SANDA kwenye jezi zao

Kwanini mbumbumbu mlipe tafsiri neno kwa matakwa yenu na sio kwa lugha ya alieweka hilo neno?

Ni sawa na ile timu inaitwa kumamoto iamue kufupisha jina lake halafu kibongo iwe gumzo.
Hapo kutakua na utata
 
Ni Vizuri ungezungumzia vitenge na batiki zenu na makabidhiano ya timu Kwa Magoma. Kama unafikiri jezi zitawababaisha wenye timu (wazee WA Yanga) unajidanganya.
Makolo mmepigwa [emoji23][emoji23]
 
Kwanini mbumbumbu mlipe tafsiri neno kwa matakwa yenu na sio kwa lugha ya alieweka hilo neno?

Ni sawa na ile timu inaitwa kumamoto iamue kufupisha jina lake halafu kibongo iwe gumzo.
Kwani moto itakuwa gumzo?
 
Back
Top Bottom