Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,453
Sisemi vibaya ila kiukweli niliyoyaona leo yamenitisha baadhi ya wanaume wa dar wananuka harufu mbaya za majasho.
Nimeshuka zangu airport nikasema nipande daladala kwenda kwa Raynavero Sinza kupiga porojo jamani uwii yani nikiwasogelea wakaka wa Dar uwii wananuka majasho hatari.
Mhg hata sjui sababu ni nn?
Hapa nimefika Msata napiga chafya rohoo karibia itoke sababu ya harufu za uvundo za wanaume wa Dar.
Mrs Mshana.
Demiss.
Nyongeza: Nimekuja kwenye zindiko karibuni sana wanajf.
Nimeshuka zangu airport nikasema nipande daladala kwenda kwa Raynavero Sinza kupiga porojo jamani uwii yani nikiwasogelea wakaka wa Dar uwii wananuka majasho hatari.
Mhg hata sjui sababu ni nn?
Hapa nimefika Msata napiga chafya rohoo karibia itoke sababu ya harufu za uvundo za wanaume wa Dar.
Mrs Mshana.
Demiss.
Nyongeza: Nimekuja kwenye zindiko karibuni sana wanajf.