Watu wa Dar wana majasho si wanawake si wanaume ila waume zao wamezidiMhh mbona observation iko biased
Mimi hapa niko kwenye Mwendokasi natoke Kivukoni naelekea Shekilango wanawake walionizingira wananuka zaidi ya KIKWAPA yaani kinaitwa KIBEBERU na wengine wamechanganya VUMBA LA SAMAKI+KIBEBERU+ LEAKAGE = ???????.
Nilitoka Kidogo JF.. Lini Mshana Kakuchukua?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
kumbe ni dar tyuuu senkyuuu lodi senkyuuu ze olmaiti wa mikoani tumeponaaaa wa dar inawahusuuuu ππππSisemi vibaya ila kiukweli niliyoyaona leo yamenitisha baadhi ya wanaume wa dar wananuka harufu mbaya za majasho.
Nimeshuka zangu airport nikasema nipande daladala kwenda kwa Raynavero Sinza kupiga porojo jamani uwii yani nikiwasogelea wakaka wa Dar uwii wananuka majasho hatari.
Mhg hata sjui sababu ni nn?
Hapa nimefika Msata napiga chafya rohoo karibia itoke sababu ya harufu za uvundo za wanaume wa Dar.
Mrs Mshana.
Demiss.
Nyongeza: Nimekuja kwenye zindiko karibuni sana wanajf.