Muulize Mshana Jr huwa anawatuma wateja wake wakawasake porini.Hiyo kweleakwelea sijaielewa
Hahahaha kwann nilipokuwa mkoani sijaona hayo mambo
Hahahaha kwann nilipokuwa mkoani sijaona hayo mambo
Regency ?,OK najua Ray ana hotel singida inaitwa Regency hope ndio hyNakuja huko soon j3 next week nikitokea dar nasikia kuna hotel nzuri Regency
Shoga angu hongera sana!Mimi hapa Nina wanafunzi sitaki wanipikie akuuu[emoji23] vya primary!nkirudi napika mwenyewe .Poleee sana ningekuwa village ningekutafutia binti mm mpaka huwa nachoka maana nyumba yangu haijawahi kukosa mabinti marafiki hapa nimewaacha watatu nikirud home mm boss hakuna kazi nagusa labda nijisikie kupika tu siku hiyo
I love u tooIla imebamba sio kidogo
I love u
Asa ulitaka wajinyunyizie udi na ubani au wanukie marashi ya pemba kama wanaume wa upareni?Watu wa Dar wana majasho si wanawake si wanaume ila waume zao wamezidi
Mlaumu Mshana sasaAhaa mshana kanizoesha vibaya sana[emoji2][emoji2][emoji2]
Wanunulie deodorant
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] et wananuka kwapa ungejichunguza mwenywe mda mwngne tunatembea na tatzo tukdhan lnatoka kwa wengne
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]shoga Leo nilikua busy kweli...ndo naiona thread hapa!
Usiwaseme bwana kaka zangu wa dar!
Kwa uzoefu Wangu humu JF ,unadhani ingekua vipi huu Uzi ungeletwa na kidume?Sasa dada unategema watu wapo kwenye mihangaiko na jua kali hili ukizingatia vyuma vimekaza ukute watu wananukia?
Imeandikwa mwanaume kula kwa jasho! Sasa wewe ushazoea Mshana Jr mganga yeye kakaa tu kilingeni kivuli kikubwa mda wote ananukia udi na ubani, unataka na uswazi hayo nayo uyakute? [emoji23]
Tungetukanwaa mpk kufutwa Uzi na wanaume wengine walivyo mapugii wangerefer mpk wadada waliowala humu kua wananuka[emoji2] [emoji2] [emoji2]Kwa uzoefu Wangu humu JF ,unadhani ingekua vipi huu Uzi ungeletwa na kidume?