Baadhi ya wanawake hawajali kabisa kile ambacho waume zao wanapitia

Baadhi ya wanawake hawajali kabisa kile ambacho waume zao wanapitia

MELEKAHE

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2023
Posts
1,340
Reaction score
5,588
Baadhi ya wake hawajui hata kwamba waume zao wanafanya kazi zaidi ya moja ili kuhudumia familia.

Dunia ni mahali pagumu kwa mwanaume.

Rafiki yangu alipoteza kazi yake mwaka jana. Jamaa amejiongeza gari yake ameisajili Bolt hivyo anatoka nyumbani kila siku kwenda kazini.

Mke wake hata hajui kuwa mumewe nowdays ni dereva wa Bolt kwa gari lake.

Anadai hajamwambia kwa sababu mke wake huyo ni mlalamishi na ana dharau vibaya mno.
 
Oy mapenzi hisia tikisa kichwa Kidogo.pale kileleni mnapo semeha sisi tunapitiliza tafuta hela punguza usela raisi wa bad face
 
Ndio maana mimi kwasasa nimeamua kujitenga kabisa n maswala ya mahusiano coz binafsi naona hasara, stress ni nyingi kuliko faida.
Kwa kijana unaejitafuta nyeto ni salama sana kwako kuliko mwanamke sababu hao viumbe ukishawaweka kwenye sehem ya maisha yako ndugu yangu umekwisha malengo yoteyanapotea na hutotimiza kamwe otherwise uje ubadilike. Naongea from my experience.
 
Yeye huyo mwanaume anakijua anachokitaka? Ukute alipokuwa na kazi alikuwa hata hamzingatii mkewe, wanaume mnajifanyaga kuwa hamna matatizo Kwa wake zenu, ila mnataka mke awe kimya tu hata kama anaumia,.
Huyo mwenzio anamficha mkewe siku akipata shida na hicho kigari wakwanza kumpigia mkewe sijui ndiyo ataanza kumwelezea !
 
Back
Top Bottom