Daata
JF-Expert Member
- Dec 24, 2012
- 4,673
- 1,875
Je ulijua kama Kondo la Nyuma au "Placenta"?Baadhi ya wanawake wanakunywa maji yaKondo la Nyuma saa chache baada ya kujifunguaHugeuka kuwa uchafu pindi mamaanapojifungua , sasa kwa nini baadhi yawanawake wanaamua kula Kondo la nyumaau Placenta ikiwa mbichi ?Kondo la Nyuma huwa ni sehemu ya mwili wamama anapokuwa mjamzito, sehemu hiyohumsaidia mtoto kupata chakula na hewakutoka kwa mama akiwa tumboni.Pindi mama anapojifungua kazi ya Kondo laNyuma huisha papo hapo na hivyo hutupwa ,lakini sio kila mtu ana mtazamo huu.
Baadhi ya wanawake wanaamini kuwa madiniyanayopitia kwa mkondo wa Nyuma hadi kwamtoto ili kumuwezesha mtoto kukuwa huwabado yanaweza kutumika na kwamba sio vizurikuitupa.Wanasema kuwa mama bado anaweza kupatamadini muhimu wakati anapoendelea kupatanafuu baada ya kujifungua na pia anapoanzakuonyonyesha kwa kula Kondo la nyuma.'Mama ale Kondo la Nyuma?'Baadhi ya wanawake husaga kondo hilo nakunywa maji yake saa chache tu baada yakujifungua, baadhi wanaihifadhi na kutengezatembe ambazo wanameza na wenginewanaikata vipande vipande kwa kuweka chini yandimi zao.Wanafanya hivyo kwa kuamini kuwa tembe hizozinaweza kuwapa nguvu na pia kusaidia maziwaya mama kuongezeka.
Kampuni moja nchini Uingereza inayotengezabiadhaa mbali mbali kutoka kwa Kondo laNyuma, hulipisha watu kati ya pauni 150 audola elfu kumi na saba kwa kila tembe na chiniya dola hamsini kwa maji ya kondo hilolinaposagwa.Baadhi hutengeza maji ya sharubati kwakuichanganya na matundaBaadhi wanaamini kuwa Kondo la nyuma huwana madini mengi ambayo hayapaswi kutupwatu.Lakini kampuni hiyo inakumbwa na kesimahakamani ambayo huenda ikaisababishakufungwa.Kampuni hiyo ilishitakiwa na wataalamuwanaohofia kuwa bidhaa hizo zinaweza kuwa naBakteria ambayo inaweza kusababisha athari zakiafya kwa wanaotumia bidhaa zinazotokana nakondo la nyuma.
Charlie Poulter, kutoka mtaa wa Reading,anaamini kuwa alipokunywa maji ya kondo laNyuma pindi baada ya kujifungua ilimwezeshakupata nguvu."nilikunywa harakaharaka, kwa sababu sikutakakutafakari kuhusu harufu na ladha yake,alisema Charlie''"nilikuwa nimejifungua na nilihisi kuishiwa nanguvu sana na pia kwa kiasi kidogonilijidharamau. Kwa hivyo nilihisi kuwa ikiwanitakunywa maji hayo ingenisaidia kupata nguvuna kupona haraka,'' alisema mama Charlie.'Kondo la Nyuma ni nini?'Baadhi ya wanawake huikausha na kuikaangakama nyamaHii huwa ni kiongo cha mwili ambacho huwakimeshikana na nyumba ya mtoto pamoja nakitovu.
Kiungo hicho hubeba hewa ya Oxygen namadini kutoka kwa mama hadi kwa mtoto.Pia husafirisha uchafu kutoka kwa mtoto hupitiakwa kiungo hicho hadi kwa mama.Baada ya mtoto kuzaliwa kiungo hicho hutokamwilini mwa mama anaposukuma mtoto auhutolewa na madaktari mama anapofanyiwaupasuaji.Binadamu kwa kawaida hajulikani kwa kulasehemu hiyo ya uzazi. Ni kawaida kwa baadhi yawanyama wa baharini na wanyama wengine wakufugwa. Lakini kwa mwanmadamu , bila shakani jambo geni.Nchini China baadhi ya madaktari wa kienyejihutumia sehemu hiyo ya mwili kutengeza dawaza kienyeji lakini utamaduni huu wa watu kulaKondo la Nyuma umeanza tu kusikika katikamataifa ya magharibi.'Je wanasayansi wanasemaje?'
Hadi leo hakuna utafiti wowote kuhusuwanawake wanaokula Kondo la nyuma.
===============================================================
Chanzo:bbc
Baadhi ya wanawake wanaamini kuwa madiniyanayopitia kwa mkondo wa Nyuma hadi kwamtoto ili kumuwezesha mtoto kukuwa huwabado yanaweza kutumika na kwamba sio vizurikuitupa.Wanasema kuwa mama bado anaweza kupatamadini muhimu wakati anapoendelea kupatanafuu baada ya kujifungua na pia anapoanzakuonyonyesha kwa kula Kondo la nyuma.'Mama ale Kondo la Nyuma?'Baadhi ya wanawake husaga kondo hilo nakunywa maji yake saa chache tu baada yakujifungua, baadhi wanaihifadhi na kutengezatembe ambazo wanameza na wenginewanaikata vipande vipande kwa kuweka chini yandimi zao.Wanafanya hivyo kwa kuamini kuwa tembe hizozinaweza kuwapa nguvu na pia kusaidia maziwaya mama kuongezeka.
Kampuni moja nchini Uingereza inayotengezabiadhaa mbali mbali kutoka kwa Kondo laNyuma, hulipisha watu kati ya pauni 150 audola elfu kumi na saba kwa kila tembe na chiniya dola hamsini kwa maji ya kondo hilolinaposagwa.Baadhi hutengeza maji ya sharubati kwakuichanganya na matundaBaadhi wanaamini kuwa Kondo la nyuma huwana madini mengi ambayo hayapaswi kutupwatu.Lakini kampuni hiyo inakumbwa na kesimahakamani ambayo huenda ikaisababishakufungwa.Kampuni hiyo ilishitakiwa na wataalamuwanaohofia kuwa bidhaa hizo zinaweza kuwa naBakteria ambayo inaweza kusababisha athari zakiafya kwa wanaotumia bidhaa zinazotokana nakondo la nyuma.
Charlie Poulter, kutoka mtaa wa Reading,anaamini kuwa alipokunywa maji ya kondo laNyuma pindi baada ya kujifungua ilimwezeshakupata nguvu."nilikunywa harakaharaka, kwa sababu sikutakakutafakari kuhusu harufu na ladha yake,alisema Charlie''"nilikuwa nimejifungua na nilihisi kuishiwa nanguvu sana na pia kwa kiasi kidogonilijidharamau. Kwa hivyo nilihisi kuwa ikiwanitakunywa maji hayo ingenisaidia kupata nguvuna kupona haraka,'' alisema mama Charlie.'Kondo la Nyuma ni nini?'Baadhi ya wanawake huikausha na kuikaangakama nyamaHii huwa ni kiongo cha mwili ambacho huwakimeshikana na nyumba ya mtoto pamoja nakitovu.
Kiungo hicho hubeba hewa ya Oxygen namadini kutoka kwa mama hadi kwa mtoto.Pia husafirisha uchafu kutoka kwa mtoto hupitiakwa kiungo hicho hadi kwa mama.Baada ya mtoto kuzaliwa kiungo hicho hutokamwilini mwa mama anaposukuma mtoto auhutolewa na madaktari mama anapofanyiwaupasuaji.Binadamu kwa kawaida hajulikani kwa kulasehemu hiyo ya uzazi. Ni kawaida kwa baadhi yawanyama wa baharini na wanyama wengine wakufugwa. Lakini kwa mwanmadamu , bila shakani jambo geni.Nchini China baadhi ya madaktari wa kienyejihutumia sehemu hiyo ya mwili kutengeza dawaza kienyeji lakini utamaduni huu wa watu kulaKondo la Nyuma umeanza tu kusikika katikamataifa ya magharibi.'Je wanasayansi wanasemaje?'
Hadi leo hakuna utafiti wowote kuhusuwanawake wanaokula Kondo la nyuma.
===============================================================
![]()
Baadhi ya wanawake wanakunywa maji ya Kondo la Nyuma saa chache baada ya kujifungua
Hugeuka kuwa uchafu pindi mama anapojifungua , sasa kwa nini baadhi ya wanawake wanaamua kula Kondo la nyuma au Placenta ikiwa mbichi ?
Kondo la Nyuma huwa ni sehemu ya mwili wa mama anapokuwa mjamzito, sehemu hiyo humsaidia mtoto kupata chakula na hewa kutoka kwa mama akiwa tumboni.
Pindi mama anapojifungua kazi ya Kondo la Nyuma huisha papo hapo na hivyo hutupwa , lakini sio kila mtu ana mtazamo huu.
Baadhi ya wanawake wanaamini kuwa madini yanayopitia kwa mkondo wa Nyuma hadi kwa mtoto ili kumuwezesha mtoto kukuwa huwa bado yanaweza kutumika na kwamba sio vizuri kuitupa.
Njia za kula Kondo la Nyuma
Wanasema kuwa mama bado anaweza kupata madini muhimu wakati anapoendelea kupata nafuu baada ya kujifungua na pia anapoanza kuonyonyesha kwa kula Kondo la nyuma.
'Mama ale Kondo la Nyuma?'
Baadhi ya wanawake husaga kondo hilo na kunywa maji yake saa chache tu baada ya kujifungua, baadhi wanaihifadhi na kutengeza tembe ambazo wanameza na wengine wanaikata vipande vipande kwa kuweka chini ya ndimi zao.
Wanafanya hivyo kwa kuamini kuwa tembe hizo zinaweza kuwapa nguvu na pia kusaidia maziwa ya mama kuongezeka.
Kampuni moja nchini Uingereza inayotengeza biadhaa mbali mbali kutoka kwa Kondo la Nyuma, hulipisha watu kati ya pauni 150 au dola elfu kumi na saba kwa kila tembe na chini ya dola hamsini kwa maji ya kondo hilo linaposagwa.
Baadhi hutengeza maji ya sharubati kwa kuichanganya na matunda
![]()
Baadhi wanaamini kuwa Kondo la nyuma huwa na madini mengi ambayo hayapaswi kutupwa tu.
Lakini kampuni hiyo inakumbwa na kesi mahakamani ambayo huenda ikaisababisha kufungwa.
Kampuni hiyo ilishitakiwa na wataalamu wanaohofia kuwa bidhaa hizo zinaweza kuwa na Bakteria ambayo inaweza kusababisha athari za kiafya kwa wanaotumia bidhaa zinazotokana na kondo la nyuma.
Charlie Poulter, kutoka mtaa wa Reading, anaamini kuwa alipokunywa maji ya kondo la Nyuma pindi baada ya kujifungua ilimwezesha kupata nguvu.
"nilikunywa harakaharaka, kwa sababu sikutaka kutafakari kuhusu harufu na ladha yake, alisema Charlie''
"nilikuwa nimejifungua na nilihisi kuishiwa na nguvu sana na pia kwa kiasi kidogo nilijidharamau. Kwa hivyo nilihisi kuwa ikiwa nitakunywa maji hayo ingenisaidia kupata nguvu na kupona haraka,'' alisema mama Charlie.
'Kondo la Nyuma ni nini?'
![]()
Baadhi ya wanawake huikausha na kuikaanga kama nyama
Hii huwa ni kiongo cha mwili ambacho huwa kimeshikana na nyumba ya mtoto pamoja na kitovu.
Kiungo hicho hubeba hewa ya Oxygen na madini kutoka kwa mama hadi kwa mtoto.
Pia husafirisha uchafu kutoka kwa mtoto hupitia kwa kiungo hicho hadi kwa mama.
Baada ya mtoto kuzaliwa kiungo hicho hutoka mwilini mwa mama anaposukuma mtoto au hutolewa na madaktari mama anapofanyiwa upasuaji.
Binadamu kwa kawaida hajulikani kwa kula sehemu hiyo ya uzazi. Ni kawaida kwa baadhi ya wanyama wa baharini na wanyama wengine wa kufugwa. Lakini kwa mwanmadamu , bila shaka ni jambo geni.
Nchini China baadhi ya madaktari wa kienyeji hutumia sehemu hiyo ya mwili kutengeza dawa za kienyeji lakini utamaduni huu wa watu kula Kondo la Nyuma umeanza tu kusikika katika mataifa ya magharibi.
'Je wanasayansi wanasemaje?'
Hadi leo hakuna utafiti wowote kuhusu wanawake wanaokula Kondo la Nyuma.
Chanzo:bbc