Baadhi ya Wanawake ni Binadamu wa pekee sana, nawapa Pongezi muishi miaka mingi ya Kobe

ASALI KUTOKA TABORA.

Nauza Asali Ya Jumla Na Rejareja
Ipo Ya Nyuki Wadogo Na Nyuki Wakubwa.

Tunafunga Kwa Vipimo Tofauti Tofautii

Bei Ya Rejareja
Lita1 - 10,000 (Nyuki Wa Kubwa)
Lita1 - 25,000 (Nyuko Wa Dogo)

Bei Ya Jumla
Tuwasiliane Maana Kuna Ofa Zaidi

[emoji3513] #0658357537
Call/ WhatsApp/Sms
Tabora

[emoji625] [emoji593] Tunafanya Delivery Nchi Nzima
 
Shida ya washakaji ukiwapa hela wanachukulia poa ikifika saa ya kurudisha hasa kama wanajua hela kwako sio shida. mwingine anarudisha kwa mafungu mpaka unasahua kama kamaliza au la na ukisahua kukumbushia anakuzika.
 
Shida ya washakaji ukiwapa hela wanachukulia poa ikifika saa ya kurudisha hasa kama wanajua hela kwako sio shida. mwingine anarudisha kwa mafungu mpaka unasahua kama kamaliza au la na ukisahua kukumbushia anakuzika.
wana sio watu wazuri
 
Nikampigia simu mchepuko wangu wa pili mfanyakazi wa shirika fulani serikalini. pia ni mweka hazina wa kikundi cha kufa na kuzikana cha kazini kwake. fedha zote za kikundi anadhibiti yeye.

[emoji38][emoji38][emoji38]We lijamaa ni lihuni sana wewe!!
 
Nikampigia simu mchepuko wangu wa pili mfanyakazi wa shirika fulani serikalini. pia ni mweka hazina wa kikundi cha kufa na kuzikana cha kazini kwake. fedha zote za kikundi anadhibiti yeye.

[emoji38][emoji38][emoji38]We lijamaa ni lihuni sana wewe!!
nawafundisha wadogo zangu mtafute pesa lakini pia mtafute michepuko ya faida ya kuihonga ili hata siku mkikwama, michepuko yako inaweze ku rescue situation. sio unakuwa na michepuko kila siku inalia njaa tu.[emoji846][emoji846][emoji846]
 
Pale lodge mdada wa reception akawa ananisumbua kuulizia malipo ya siku zilizoongezeka. nikampiga kiswahili kwa kumuomba avute subira, akanielewa.

Ningekuwa mimi,huyo dada wa mapokezi baada ya kupata hela ningerudi kivingine kumpapatua papa yake...
 
Hili nalo neno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…