Baadhi ya washindi wa tuzo za GRAMMY AWARDS kwa zile category muhimu

Walichofanya Si Sawa Wamemnyima Shemeji Ata Moja Kati ya Hizo Nane Si Vyema.
kaishiwa now deiz hana mpya ..album yake aliyoitoa imeshindwa kufnya vyema kama zilivyoweza kufnya album zake za awali ..hakuna hata hit song moja ya maana ...anapaswa kumuomba msamaha kanye sasa..hahaaa maana ndiye aliyekuwa anachangia kumbeba pamoja na rihana
 
kaishiwa mkuu sema kuna ambao watapinga mnoo hili ..jay pia alikuwa anabebwa na uwepo wa kanye na riri kwenye nyimbo zake ...yaani we hushangai jiga katoa ngoma hata mtaani hazisikiki..kama waimbaji wa music wa country bhana...nyimbo zao huwa zaishia kuvuma huko huko kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…