Jay z kawekwa tu kwa heshima ya u legend but kwenye kuchukua tuzo mm sikufikiria kabisa kama ataokota hata moja esp kwenye album yake ilikuwa too personal sana wala haina social impact yoyote maybe nyimbo ya the story of Oj hata yeye alijua hivyo hawez chomoka kwa King Kunta napenda sana nisikie his opinion about this
..