Baadhi Ya Watanzania Ni Vipofu Kabisaa

Baadhi Ya Watanzania Ni Vipofu Kabisaa

Jamani, mmenishambulia tu na kunitusi bure. Ninachoweza kusema, ni kwamba, NAOMBA SAMAHANI kwa pale nilipotumia lugha offensive. Lengo langu lilikuwa ni kueleza tu kuwa "upofu wa fikra" unaotokana na upungufu wa information. Humu ndani kuna watu wengi sana hawajawai kuishi kijijini,pamoja na kwamba wanapitapita mara nyingi. Mini nimezaliwa kijijini, nimesoma kijiji, na wazazi wangu bado wako kijijini. Naenda mara kwa mara kijijini. Pamoja na kwamba Mungu amenibarikia kuwa na kipato kinachonifanya nisiishi kijijini tena, bado huwa natembelea vijijini sana mara kwa mara, na nimeshafanya kazi nyingi sana za kuzunguka vijijini. Naelewa ninacho kisema. Radio wanazosikiliza vijijini maranyingi ni Radio Tanzania Dsm ambayo ndo TBc. Hamna Television. Hamna magazeti kabisa. radio chache za FM zinafika, lakini sio kila sehemu. hata hizo zinazofika, wananchi hawasikilizi wote. wengi wanakuwa busy kulima mashamba, na jioni kilabuni ambapo radio ni burudani yaani muziki. wengine huenda misikitini au makanisani kusali. wakirudi wamechoka, kula, kulala. Wanaweza kusikiliza pia radio za nje za kiswahili, lakini wachache tu. wengi wanakosa sana information. inasikitisha kuona watu wengine wananipinga wakati wao wako US au UK hapo, mimi ninaeongea hata wiki iliyopita, nilitembelea kijijini hapa tz. najua ninachoongea.

Sisemi watz vijijini vipofu kwa nia ya kuwatukana. nasema hivyo kwa nia ya kutaka sisi tupambane tuwakomboa. sisi huku mjini ambao tukirudi tu jion kazini tuko kwenye tv zetu kusikiliza, na radios, na asubui tuendapo kazini tunanunu magazetu na kusoma, tuna information nyingi kuliko wale wenzetu. ikijumuisha na kwamba wao ni masikini zaidi kuliko watu wa mjini, basi, mawazo yao yote yanaweza yakabadilishwa kwa kitenge, elfu kumi au hata mwaliko wa kununuliwa pombe na makata wa kifisadi. Pia, kwasababu elimu kwao ni ndogo, upeo wa kufikiri ni mchache pia. warahisi kurubuniwa.

wale waliompokea chenge na Lowasa si ajabu waliahidiwa alfu tatutatu tu kuwa watapewa. ili kusafisa mtu. Naomba, mtoe maoni ya reality, sio maoni ya mambo yasiyokuwepo. mimi siwatukani watz kwani mimi ni mtz pia. hela za mafisadi zingefaa basi hata kupeleka watoto shule ili tusiendelee kuwa na watu wasiosoma vijijini wanaoweza kurubuniwa kwa vijisenti tu. asante, na samahani kama kuna offensive word nyingine nimeongea.
 
wakuu, nadhani sasa tunahitaji data kujustify claims zenu. Wote mnasema kitu ambacho kina ukweli. Vijijini kuna high level of ingnorance lakini sio total ignorance. kwa hiyo sio sahihi kusema kule vijijini watu wako aware au kusema kule vijiji watz wamelala. lazima ueleze wako aware in comparison to what au angalau utoe ufafanunuzi. Sweeping statements are never correct unless backed by data
 
Jamani, mmenishambulia tu na kunitusi bure. Ninachoweza kusema, ni kwamba, NAOMBA SAMAHANI kwa pale nilipotumia lugha offensive. Lengo langu lilikuwa ni kueleza tu kuwa "upofu wa fikra" unaotokana na upungufu wa information. Humu ndani kuna watu wengi sana hawajawai kuishi kijijini,pamoja na kwamba wanapitapita mara nyingi. Mini nimezaliwa kijijini, nimesoma kijiji, na wazazi wangu bado wako kijijini. Naenda mara kwa mara kijijini. Pamoja na kwamba Mungu amenibarikia kuwa na kipato kinachonifanya nisiishi kijijini tena, bado huwa natembelea vijijini sana mara kwa mara, na nimeshafanya kazi nyingi sana za kuzunguka vijijini. Naelewa ninacho kisema. Radio wanazosikiliza vijijini maranyingi ni Radio Tanzania Dsm ambayo ndo TBc. Hamna Television. Hamna magazeti kabisa. radio chache za FM zinafika, lakini sio kila sehemu. hata hizo zinazofika, wananchi hawasikilizi wote. wengi wanakuwa busy kulima mashamba, na jioni kilabuni ambapo radio ni burudani yaani muziki. wengine huenda misikitini au makanisani kusali. wakirudi wamechoka, kula, kulala. Wanaweza kusikiliza pia radio za nje za kiswahili, lakini wachache tu. wengi wanakosa sana information. inasikitisha kuona watu wengine wananipinga wakati wao wako US au UK hapo, mimi ninaeongea hata wiki iliyopita, nilitembelea kijijini hapa tz. najua ninachoongea.

Sisemi watz vijijini vipofu kwa nia ya kuwatukana. nasema hivyo kwa nia ya kutaka sisi tupambane tuwakomboa. sisi huku mjini ambao tukirudi tu jion kazini tuko kwenye tv zetu kusikiliza, na radios, na asubui tuendapo kazini tunanunu magazetu na kusoma, tuna information nyingi kuliko wale wenzetu. ikijumuisha na kwamba wao ni masikini zaidi kuliko watu wa mjini, basi, mawazo yao yote yanaweza yakabadilishwa kwa kitenge, elfu kumi au hata mwaliko wa kununuliwa pombe na makata wa kifisadi. Pia, kwasababu elimu kwao ni ndogo, upeo wa kufikiri ni mchache pia. warahisi kurubuniwa.

wale waliompokea chenge na Lowasa si ajabu waliahidiwa alfu tatutatu tu kuwa watapewa. ili kusafisa mtu. Naomba, mtoe maoni ya reality, sio maoni ya mambo yasiyokuwepo. mimi siwatukani watz kwani mimi ni mtz pia. hela za mafisadi zingefaa basi hata kupeleka watoto shule ili tusiendelee kuwa na watu wasiosoma vijijini wanaoweza kurubuniwa kwa vijisenti tu. asante, na samahani kama kuna offensive word nyingine nimeongea.

bwana mdogo heshima yako...
mi mpaka sasa sioni ni sababu gani inayopelekea ukawa na woga mpaka uombe radhi.
kichwa cha habari yako kinasema "Baadhi Ya Watanzania Ni Vipofu Kabisaa" sasa mi naona kama uliamua kuweka neno "baadhi" sijui tatizo lako liko wapi na ni kitu gani kinachokupa woga.
na pia hivi majuzi tumewaona baadhi ya vipofu huko bariadi wakimpokea chenge kwa hoihoi nderemo na vifijo, sasa binafsi nakuomba ukanushe kuomba huo msamaha kwa sababu ulichokisema ni kitu cha kweli.
 
Nakanusha kuomba msamaha. sina kosa lolote...baadhi ya watz ni vipofu, hata cheyo jana kanisaidia kumwagiza kikwete awaangalie hao watu wanaoiba hela zetu, halafu wanatutambia nazo, na wanawahonga waibiwa yaani wananchi watoa kodi zilezile hela walizowaibia ili wawapambe. KIlichotokea Baridi na Monduli kwa Lowasa na Chenge, ni ujumbe tosha kwa watz.kuona kuwa, kuna watu wengi ambao wako kwenye giza na ni kazi yetu kuwakomboa. Nashukuru mkuu kwa kuniunga mkono. hao jamaa waliopinga, siajabu ni anonymous names tu ila ni Chenge, Lowasa au kalamagimbi wa Nazir. lol!
 
ndio,niliomba msamaha kwa kukutia mchanga wa macho tu. nilitaka kuchukuliana na watu wasioelewa humu ndani,niende nao polepole kidogokidogo hadi watakapo elewa. ila msimamo wangu ulikuwa palepale. asante. wewe mawazo yako ni yapi sasa kuhusu hili?
 
ndio,niliomba msamaha kwa kukutia mchanga wa macho tu. nilitaka kuchukuliana na watu wasioelewa humu ndani,niende nao polepole kidogokidogo hadi watakapo elewa. ila msimamo wangu ulikuwa palepale. asante. wewe mawazo yako ni yapi sasa kuhusu hili?

Bado sikubaliani na msemo wako wa kuwa "Baadhi ya Watanzania ni Vipofu Kabisaa" Huku ukielekeza shutuma hizo vijijini.
 
Kidzogole,
Baada ya kumpata mwenye hoja kama yako sasa unajitutumua sio?. Subiri vigongo vinakuja tena kupinga hoja yako. Sijui utaomba tena msamaha!!!sio bure jamaa anakuita kigeugeu!!!

Hujatueleza kwa takwimu kwa nini unadhani baadhi ya watz ni vipofu. umetupa tu story yako ulipokuwa vijijini. Hiyo haitoshi kujenga hoja. au basi ungesema kwenye ujumbe wako "mimi nadhani baadhi ya watz ni vipofu" lakini umetumia affirmative statements ndiyo maana tunapingana nawe kwa hoja. Kumbuka, "no research no right to speak"
Unapotoa hoja kama hiyo uweze kuitetea kwa takwimu au angalau reference za watu waliofanya hiyo research. Umaskini peke yake hauwezi kumfanya mtu kipofu!!!!
 
Katika gazeti la Raia Mwema la leo, Mh. jaji Warioba anaongelea sual hili la wasomi kusema eti tuwaelimishe watz on assumption that hawajui kitu. Hii ni hatari sana. tafuta gazeti hilo ulisome kwa faida yako
 
we mwenyewe ni kipofu,tena kiziwi,kwasabu hauoni kabisa hili suala kuwa la kweli na hausikii. period.Kibunango pia ni kipofu na kiziwi.
 
Kwa kabila ninalotoka mimi, na makabila mengi ya wafugaji kuiba ng'ombe toka sehemu mbali na kwenu na kuwafikisha salama kijijini kwenu, kilihesabika kama ni kitendo cha kishujaa sana na ulipokelewa kwa mbwembwe zote na kuozwa mke haraka! Mila hii wala haijabadilika sana sehemu nyingi za nchi yetu. Sikushangaa Lowassa na Chenge walivyopokelewa kwa kuwa wote wanatoka makabila ya wafugaji! Hata huku mijini MAFISADI wanaheshimika sana iwe ni kwenye misiba, harusi au hata makanisani na kwenye misikiti.
Maana ya yote haya ni moja tu: Watanzania tulio wengi tumeoza nje hadi ndani!
SIO UPOFU WA FIKRA WALA KUTOJUA.
 
Kidz,
yaani umefikia hapo? jibu kwa hoja mheshimiwa acha hizo, ebo!!!
 
we mwenyewe ni kipofu,tena kiziwi,kwasabu hauoni kabisa hili suala kuwa la kweli na hausikii. period.Kibunango pia ni kipofu na kiziwi.
Awali ya yote ni majuzi tu nimetoka kupima macho yangu.. ni mazima na hayaitaji hata miwani ili kuona, zaidi masiko yangu ni mazima

Pili uta'dabu

Tatu tembelea bandiko la ujinga wa mwafrika safisha macho kule na usome na ukishafahamu ni nini kinazungumza kule rudi hapa na urekebishe mada yako.
 
nirekebishe niseme nini?au wewe ni chenge mzee? au we ni lowasa?,unataka niwasafishe mafisadi?mimi sina icho. mada hii ni nzuri sana na naishikilia bango hadi mwisho. period.
 
Back
Top Bottom