DOKEZO Baadhi ya Watumishi wasio waadilifu TANESCO wachukua rushwa ya laki tano

DOKEZO Baadhi ya Watumishi wasio waadilifu TANESCO wachukua rushwa ya laki tano

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Joined
Feb 12, 2023
Posts
97
Reaction score
150
Hakika ukicheka na nyani utavuna mabua!

Mtu mmoja aliyefahamika kwa majina ya WILFRED FRANK NJAU amesikika akilalamika kuombwa rushwa na maafisa wa TANESCO Mbezi beach, kiasi cha Laki tano ili apatiwe huduma ya umeme!

Watumishi hao walifika katika nyumba ya NJAU wakiwa gari la TANESCO na kuchukua kiasi cha laki tano!
Baadae NJAU alishangazwa kupokea bill nyingine ya malipo control 991034036100

Baadae NJAU alirudi ofisini kudai pesa yake kwa watumishi hao ambapo walichanga na kumrudishia;
Watumishi hao aliwataja kwa jina moja la injinia Samweli na wenzake!

Kwa taarifa zaidi tunaomba #TANESCO Mtupe ufafanuzi wa kadhia hiyo! TANESCO
 
Mnhu..
Kimenuka
Ukiangalia kwenye tovuti ya serikali Hiyo hapo inasoma 3milion
Screenshot_20230212-105617.png
 
Tanzania Sasa Inakwenda Kubaya Sana

CC:Tanesco

Toa Ufafanuzi Maana Mambo Yapo Hadharani Mpaka Malipo
 
Inaweza kua anapaswa kuweka na nguzo pia, hiyo gharama ni kubwa sana

Kama nguzo zikiwa nyingi unakuwa ni mradi mkuu na taratibu inabidi asubiri mradi ufike kwake hivyo hapaswi kutozwa fedha zote kugharamikia mradi wa serikali.
 
Back
Top Bottom