Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
ASAPTunaomba @ TANESCO watoe ufafanuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ASAPTunaomba @ TANESCO watoe ufafanuzi
TANESCO wamegomaASAP
Halafu mlangoni huwa wanabandika hatupokei Rushwa sasa walichochukua n nn, tena ndani ya ofisi kabisa waziwaziDuh shutuma mbaya sana hii kwenye taasisi serikali liangalieni ili tafadhali
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Management inajitahidi kupambana na wahuni wachache, tutoe ushirikiano. Alieomba rushwa ni mfanyakazi sio tanesco, sitetei ila nakaa pembeni kuona watashughulikiaje hili....hawa.tanesco hawana la maana nchii hii.
Huenda mifumo inawalinda wahuniManagement inajitahidi kupambana na wahuni wachache, tutoe ushirikiano. Alieomba rushwa ni mfanyakazi sio tanesco, sitetei ila nakaa pembeni kuona watashughulikiaje hili....
Kazi kweli kweliSio hayo. KINACHOFQNYIKA SASA HIVI UNAKUTA ENEO LA KIWANJA UNAAMBIWA LINA DAIWA MITA ZILIWAHI KUWEPO ZAIDIBYA 5 WANAKUPA MAHESABU KUWA WANADAI MILIONI MPAKA 20.
Swalli ukiwauliza iweje mnafunga mita kwenye eneo ambalo hamjajua umiliki.
Jibu wanakwambia sisi akija mtu anaomba maomb mapya sisi hatuitaji chochote zaidi ya kitambulisho cha nida
Tunamfungia. Sisi kuna bi mkubwa kaletewa deni la milioni 20. Kuuliza tanesko wanakwambia hayo madeni yalikuwapo nyuma watu waliomba mita.ingawaje sio wamiliki.
Ngoja wajeSio hayo. KINACHOFQNYIKA SASA HIVI UNAKUTA ENEO LA KIWANJA UNAAMBIWA LINA DAIWA MITA ZILIWAHI KUWEPO ZAIDIBYA 5 WANAKUPA MAHESABU KUWA WANADAI MILIONI MPAKA 20.
Swalli ukiwauliza iweje mnafunga mita kwenye eneo ambalo hamjajua umiliki.
Jibu wanakwambia sisi akija mtu anaomba maomb mapya sisi hatuitaji chochote zaidi ya kitambulisho cha nida
Tunamfungia. Sisi kuna bi mkubwa kaletewa deni la milioni 20. Kuuliza tanesko wanakwambia hayo madeni yalikuwapo nyuma watu waliomba mita.ingawaje sio wamiliki.
Ni kweli lakini inategemea na mboga!Sasa laki Tano si pesa ya mboga tu!!Kuna watucwanapiga mabilioni ya pesa,
Nisaidie kuelewa hili mama JoanSio hayo. KINACHOFQNYIKA SASA HIVI UNAKUTA ENEO LA KIWANJA UNAAMBIWA LINA DAIWA MITA ZILIWAHI KUWEPO ZAIDIBYA 5 WANAKUPA MAHESABU KUWA WANADAI MILIONI MPAKA 20.
Swalli ukiwauliza iweje mnafunga mita kwenye eneo ambalo hamjajua umiliki.
Jibu wanakwambia sisi akija mtu anaomba maomb mapya sisi hatuitaji chochote zaidi ya kitambulisho cha nida
Tunamfungia. Sisi kuna bi mkubwa kaletewa deni la milioni 20. Kuuliza tanesko wanakwambia hayo madeni yalikuwapo nyuma watu waliomba mita.ingawaje sio wamiliki.
Wizara yoyote ukishaona waziri ni Kutoka lile genge wanajiita Kigogo jua mambo lazima yawe hovyo hovyo.Huenda mifumo inawalinda wahuni