Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Kwani kuna shida yoyote. Kanisa moja Takatifu la mitume Hadi kitimoto tunakula madhabahauni. Vinyo ni sehemu ya ibada Acha ushamba wako wa Kwa mwamposaView attachment 3189715
Gazeti la Mwananchi limeonyesha kwa makusudi kabisa Waamini Wakatoliki wa Kanisa la Mtakatifu Joseph Dar es Salaam wakinywa Konyagi Kanisani.
Huko Pombe ni ruksa... usishangaeView attachment 3189715
Gazeti la Mwananchi limeonyesha kwa makusudi kabisa Waamini Wakatoliki wa Kanisa la Mtakatifu Joseph Dar es Salaam wakinywa Konyagi Kanisani.
Gongo?!Huko Pombe ni ruksa... usishangae
Gongo?!S WAMERUSIWA JAMANI KWANI KUNA SHIDO? YESU NAE SI ALIKUNYWA
Gongo?!S WAMERUSIWA JAMANI KWANI KUNA SHIDO? YESU NAE SI ALIKUNYWA
Gongo siyo pombe?Gongo?!
View attachment 3189715
Gazeti la Mwananchi limeonyesha kwa makusudi kabisa Waamini Wakatoliki wa Kanisa la Mtakatifu Joseph Dar es Salaam wakinywa Konyagi Kanisani.
Umezidisha uongo.Kwa wakatoliki unywaji wa pombe yoyote (hata gongo!) sio dhambi. Na wakatoliki wanajivunia kunywa pombe popote ikiwemo hata kanisani, wao wanasema wanakunywa kistaarabu.
Pale ukatolikini hakuna ukristo halisi, ni upagani wa Kiitaliano ulioboreshwa kwa tamaduni zilizoupokea ukristo wa kale na kuueneza duniani chini ya mwamvuli wa kanisa.
HakikaKwa wakatoliki unywaji wa pombe yoyote (hata gongo!) sio dhambi. Na wakatoliki wanajivunia kunywa pombe popote ikiwemo hata kanisani, wao wanasema wanakunywa kistaarabu.
Pale ukatolikini hakuna ukristo halisi, ni upagani wa Kiitaliano ulioboreshwa kwa tamaduni zilizoupokea ukristo wa kale na kuueneza duniani chini ya mwamvuli wa kanisa.