Baadhi ya Waumini wa Kanisa Katoliki waonekana wakinywa Konyagi nje ya Kanisa la Mt. Joseph

Wakatoliki hawataki ku- complicate, wao wanasema huwezi kuendesha maisha ya duniani yakawa kama ya peponi. Ishi kiuhalisia
Waamini Wanaalikwa kutatakatifuza malimwengu kwa kuishi na kufundisha Upendo.

Sisi ni wajumbe wa Upendo Wa Yesu Kristo.
 
Hakuna jipya. Imani yao inaruhusu. Wako wanaokula nguruwe. Wako wanaomkana Yesu sio MUNGU wako wanaosali Sabato jumamosi wako wanaonena kwa lugha na kuanguka mapepo,, nk nk. Hizo ni Imani na itikadi zao
Kwani Yesu ni Mungu?
 
Ukristo halisi uko ndani ya Yesu pekee yake. Mfuatilie Yesu kupitia Biblia takatifu ndio utaujua ukristo halisi, na sio kufuatilia hizi hadithi za haya madhehebu mbali mbali.
Lakini Yesu huyohuyo ndiye aligeuza maji kuwa divai njema (a fine wine). Huyohuyo Yesu alikuwa ananakula na kunywa.
 
Kwani Yesu ni Mungu?
Kwani Pombe ni halali, kwani Sabato ni ijumaa kwani nguruwe ni chakula, kwani wafu wako mbinguni, kwani Yesu sio MUNGU ? Kwani ziko nyingi na Imani ziko nyingi na hao walioonekana wanakunywa konyagi wamefanya hivyo kwa Imani na mafundisho yao, bila kujali uhalali au uharamu, ukweli au uongo.
 
Wewe hu
Wewe hunywi pombe?
Na kama hunywi, hutendi dhambi…? Watu kama wewe ni wanafiki wakubwa, wapiga ramli, majizi na mafisadi!!!
 
Hata ibada zao zinatumia kiswahili tofauti
  1. Kitubio
  2. Mafungo
  3. Komunyio (kuna makabila hilo ni jina la sehemu ya mwili)
  4. Dominika
  5. Homilia
  6. Komunika
  7. Nk
8.Kristu
 
Upangani ni nn??
 
Yaan hapa aibu ni Kwa Gazeti alitoa taarifa au Kanisan??

Roman Catholic halijawahi kua Kanisa la kumfikisha mwanadamu katika Ufalme wa Baba Mungu .
Kanisa lipi liliwahi kumfikisha mtu uko halafu akarudi kutoa ushuhuda?
 
Mkuu divai ni nini,?
 
Nenda kurasini pale baa ipo kanisani .yaani unakaa bar unafuatilia misa.unaacha glad mezani unapeleka sadaka mbele unarudi kuendelea
 
Mbowe akinywa Konyagi hao hao wengine unakuta wanamnanga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…