cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,448
- 7,972
Kuvaa miwani tunajua kuwa huenda una matatizo serious ya macho na sio urembo kwa baadhi ya watu wangine wafanyavyo
Lakini kuna kajitabia kanakofanywa na wavaa miwani kwa kweli kanakera sana,
Wakati unazungumza na mtu ambaye amevaa miwani badala ya kukuangalia kawaida na miwani yake, cha ajabu anakuangalia juu ya miwani
Yaani ameinamisha kichwa,macho yake yanakuangalia kwa kupenyeza juu ya miwani,inakera mno hii tabia halafu ni dharau kabisa,kama humuoni unayezungumza naye vizuri vua miwani mzungumze lakini sio kulazimisha macho yaangalie kwa kupitia juu ya miwani
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini kuna kajitabia kanakofanywa na wavaa miwani kwa kweli kanakera sana,
Wakati unazungumza na mtu ambaye amevaa miwani badala ya kukuangalia kawaida na miwani yake, cha ajabu anakuangalia juu ya miwani
Yaani ameinamisha kichwa,macho yake yanakuangalia kwa kupenyeza juu ya miwani,inakera mno hii tabia halafu ni dharau kabisa,kama humuoni unayezungumza naye vizuri vua miwani mzungumze lakini sio kulazimisha macho yaangalie kwa kupitia juu ya miwani
Sent using Jamii Forums mobile app