Baadhi ya wizara zinahitaji kuongozwa na vichaa! Sio makaratasi mengi, kwani tumeishiwa watu vichaa!

Baadhi ya wizara zinahitaji kuongozwa na vichaa! Sio makaratasi mengi, kwani tumeishiwa watu vichaa!

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Alipata kusema hayati JPM.. Sasa inaonekana wazi kuongoza nchi kwa kuwapapasa papasa watu ni ngumu sana kufanikiwa! Kalemani alikaribia kumaliza tatizo la umeme! Kama ilivyo kawaida ya siasa tunaongoza kwa kujuana ! Akatumbuliwa bila kashfa yoyote!

Akaja anaejiita msomi na rais ajaye na kalamu nyiiiiingi na makaratasi... akabadili mfumo wote na mambo yakaanza kwa porojo nyingi vitendo na matokeo mpaka Leo hakuna! Nchi hii aliyejuu anataka watu wapole wapole ukifoka kidogo kesho haumo! Nyama ngumu hailiwi na kibogoyo.. tuteulieni vichaa, waje waongoze vichaaa wenzaoo.
 
Taratiiiibu tutaelewana tu soon. Unaambiwa mtoto akiwa ndani mwenyewe halafu yuko kimyaaa mwendo wa amani amani, hahaha jua lazima tu kuna majanga anayaparapachua humo.

Hasara yake ni kiwango cha CAG 🙂
 
Alipata kusema hayati jpm ..Sasa inaonekana wazi kuongoza nchi kwa kuwapapasa papasa watu ni ngumu sana kufanikiwa! Kalemani alikaribia kumaliza tatizo la umeme ! Kama ilivyo kawaida ya siasa tunaongoza kwa kujuana ! Akatumbuliwa bila kashfa yoyote! Akaja anaejiita msomi na rais ajaye na kalamu nyiiiiingi na makaratasi ...akabadili mfumo wote na mambo yakaanza kwa porojo nyingi vitendo na matokeo mpaka Leo hakuna! Nchi hii aliyejuu anataka watu wapole wapole ukifoka kidogo kesho haumo ! Nyama ngumu hailiwi na kibogoyo ..tuteulieni vichaa ,waje waongoze vichaaa wenzaoo
Kumbe Kalemani alikuwa kichaa siku wahi kujua! Maana Magufuli mwenyewe alisema anahitaji kichaa kama yeye akimtaja Mpina.
 
Kumbe Kalemani alikuwa kichaa siku wahi kujua! Maana Magufuli mwenyewe alisema anahitaji kichaa kama yeye akimtaja Mpina.
Kwali ilivyo ndugu tunauhitaji mkubwa wa vichaaa!?
 
Taratiiiibu tutaelewana tu soon. Unaambiwa mtoto akiwa ndani mwenyewe halafu yuko kimyaaa mwendo wa amani amani, hahaha jua lazima tu kuna majanga anayaparapachua humo.

Hasara yake ni kiwango cha CAG 🙂
Nchi inahitaji vichaaa bila vichaaa tutaambulia mabua
 
Back
Top Bottom