Baba aheshimiwe, Mama apendwe

Baba aheshimiwe, Mama apendwe

Mimi Ni Mtu Wa Mungu

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2021
Posts
679
Reaction score
1,295
Mfumo ni ule ule kama ilivyoandikwa Mke amuheshimu Mumewe na Mme ampende Mkewe.

Basi hili andiko linawahusu na watoto pia 'BABA AHESHIMIWE MAMA APENDWE' hili ni jukumu la wazazi kulitimiza.

Ukimpenda Mkeo na watoto watakua wanaona na kukuheshimu maisha yako yote.

Ukimheshimu Mumeo na watoto watakua wanaona watakupenda maisha yako yote.

Ndoa ijengwe kwenye msingi wa UPENDO NA HESHIMA

Adui wa UPENDO NA HESHIMA ni USALITI tuongozwe na UAMINIFU katika kila jambo.

Asante namalila aho
 
Kwani heshima kwa mama...inatatizo gani? Na kumpenda baba kunashida gani?
 
Unaemuheshimu unampenda hakuna heshima bila upendo na hakuna upendo bila heshima, ata mama anahaki ya kuheshimiwa.
 
Mfumo ni ule ule kama ilivyoandikwa Mke amuheshimu Mumewe na Mme ampende Mkewe.

Basi hili andiko linawahusu na watoto pia 'BABA AHESHIMIWE MAMA APENDWE' hili ni jukumu la wazazi kulitimiza.

Ukimpenda Mkeo na watoto watakua wanaona na kukuheshimu maisha yako yote.

Ukimheshimu Mumeo na watoto watakua wanaona watakupenda maisha yako yote.

Ndoa ijengwe kwenye msingi wa UPENDO NA HESHIMA

Adui wa UPENDO NA HESHIMA ni USALITI tuongozwe na UAMINIFU katika kila jambo.

Asante namalila aho
Yap..
Umenena vyema
 
Mkikutana wote mnafaana hilo linawezekana. Hilo ni agizo la Mungu moja kwa moja

Waefeso 5:33​

"Hata hivyo, kila mmoja wenu ampende mkewe kama anavyoipenda nafsi yake mwenyewe, naye mke lazima amheshimu mumewe."


Kihalisi mume akimpenda mkewe, mke atachochewa kumheshimu mume wake. Mume asitegemee kuheshimiwa ikiwa hampendi mke wake

Na mke akimheshimu mumewe, mume atachochewa kumpenda mke. Mke asitegemee kupendwa ikiwa hamheshimu mume wake
 
Mkikutana wote mnafaana hilo linawezekana. Hilo ni agizo la Mungu moja kwa moja

Waefeso 5:33​

"Hata hivyo, kila mmoja wenu ampende mkewe kama anavyoipenda nafsi yake mwenyewe, naye mke lazima amheshimu mumewe."


Kihalisi mume akimpenda mkewe, mke atachochewa kumheshimu mume wake. Mume asitegemee kuheshimiwa ikiwa hampendi mke wake

Na mke akimheshimu mumewe, mume atachochewa kumpenda mke. Mke asitegemee kupendwa ikiwa hamheshimu mume wake
mzee kumbe unasomaga bible 😂
 
Mkikutana wote mnafaana hilo linawezekana. Hilo ni agizo la Mungu moja kwa moja

Waefeso 5:33​

"Hata hivyo, kila mmoja wenu ampende mkewe kama anavyoipenda nafsi yake mwenyewe, naye mke lazima amheshimu mumewe."


Kihalisi mume akimpenda mkewe, mke atachochewa kumheshimu mume wake. Mume asitegemee kuheshimiwa ikiwa hampendi mke wake

Na mke akimheshimu mumewe, mume atachochewa kumpenda mke. Mke asitegemee kupendwa ikiwa hamheshimu mume wake
uko sahihi
 
Back
Top Bottom