Baba ake Ommy Dimpoz alalamika kutengwa na mwanae

Baba ake Ommy Dimpoz alalamika kutengwa na mwanae

View attachment 702913

Pichani mwenye tshet nyekundu ni baba yake mzazi Ommy Dimpoz ambapo Amesema mwanae huyo amemtelekeza miaka Mingi licha ya Dimpoz kusifika kwa kula bata nchi mbalimbali duniani.

Baba Dimpoz ana miaka 64 na ni dereva wa bajaji huko Tabora. Babaji amenunua mwenyewe. Wanaomjua wamesema anashindia mihogo na kachumbari !! .

Mzee Faraji Nyembo akizungumza na Globalpublishers anasema "Ni kama Wema Sepetu anavyohangaika kutafuta mtoto, siku akimpata hata kama hamsaidii chochote atamshukuru tu Mungu hivyo na mimi huwa ninamshukuru Mungu maana nimeshamleta Omary duniani.

Yeye kama mtoto, ndiye anayetakiwa kujua mzazi wake anahitaji nini, yaani ukimuuliza sasa hivi Dimpoz akupe namba yangu, utaona, atakujibu nini maana ninaamini hana.

Nimekuwa nikimpigia, lakini simu yake unaambiwa inatumika, angekuwa anaona umuhimu si angekuwa na namba maalum kwa ajili ya kuwasiliana na mimi baba yake kama mastaa wengine wanavyofanya kuwa na namba kwa ajili ya mashabiki na nyingine ya watu muhimu,” alisema na kuongeza “Mfano nikifa kama leo ni bora huyo Ommy asinizike au kuja Tabora maana watu watampiga na kwanza atasema ni nani wake amefariki dunia maana hivi niko hai hana ushirikiano,” alisema baba huyo

Chanzo: GlobalP
Fainali uzeeni
 
View attachment 702913

Pichani mwenye tshet nyekundu ni baba yake mzazi Ommy Dimpoz ambapo Amesema mwanae huyo amemtelekeza miaka Mingi licha ya Dimpoz kusifika kwa kula bata nchi mbalimbali duniani.

Baba Dimpoz ana miaka 64 na ni dereva wa bajaji huko Tabora. Babaji amenunua mwenyewe. Wanaomjua wamesema anashindia mihogo na kachumbari !! .

Mzee Faraji Nyembo akizungumza na Globalpublishers anasema "Ni kama Wema Sepetu anavyohangaika kutafuta mtoto, siku akimpata hata kama hamsaidii chochote atamshukuru tu Mungu hivyo na mimi huwa ninamshukuru Mungu maana nimeshamleta Omary duniani.

Yeye kama mtoto, ndiye anayetakiwa kujua mzazi wake anahitaji nini, yaani ukimuuliza sasa hivi Dimpoz akupe namba yangu, utaona, atakujibu nini maana ninaamini hana.

Nimekuwa nikimpigia, lakini simu yake unaambiwa inatumika, angekuwa anaona umuhimu si angekuwa na namba maalum kwa ajili ya kuwasiliana na mimi baba yake kama mastaa wengine wanavyofanya kuwa na namba kwa ajili ya mashabiki na nyingine ya watu muhimu,” alisema na kuongeza “Mfano nikifa kama leo ni bora huyo Ommy asinizike au kuja Tabora maana watu watampiga na kwanza atasema ni nani wake amefariki dunia maana hivi niko hai hana ushirikiano,” alisema baba huyo

Chanzo: GlobalP
Kwa dalili hizo tu unapata majibu pengne mama Omary na baba omary awakai pamoja na pengn baba alimpa mama mimba mama akaenda kujifngulia huko sababu sidhni kama mama na baba wangekua wanaishi pmj kama kunaweza kuwepo na malalamiko hya
 
View attachment 702913

Pichani mwenye tshet nyekundu ni baba yake mzazi Ommy Dimpoz ambapo Amesema mwanae huyo amemtelekeza miaka Mingi licha ya Dimpoz kusifika kwa kula bata nchi mbalimbali duniani.

Baba Dimpoz ana miaka 64 na ni dereva wa bajaji huko Tabora. Babaji amenunua mwenyewe. Wanaomjua wamesema anashindia mihogo na kachumbari !! .

Mzee Faraji Nyembo akizungumza na Globalpublishers anasema "Ni kama Wema Sepetu anavyohangaika kutafuta mtoto, siku akimpata hata kama hamsaidii chochote atamshukuru tu Mungu hivyo na mimi huwa ninamshukuru Mungu maana nimeshamleta Omary duniani.

Yeye kama mtoto, ndiye anayetakiwa kujua mzazi wake anahitaji nini, yaani ukimuuliza sasa hivi Dimpoz akupe namba yangu, utaona, atakujibu nini maana ninaamini hana.

Nimekuwa nikimpigia, lakini simu yake unaambiwa inatumika, angekuwa anaona umuhimu si angekuwa na namba maalum kwa ajili ya kuwasiliana na mimi baba yake kama mastaa wengine wanavyofanya kuwa na namba kwa ajili ya mashabiki na nyingine ya watu muhimu,” alisema na kuongeza “Mfano nikifa kama leo ni bora huyo Ommy asinizike au kuja Tabora maana watu watampiga na kwanza atasema ni nani wake amefariki dunia maana hivi niko hai hana ushirikiano,” alisema baba huyo

Chanzo: GlobalP
Kwanza angetupa historia fupi ya maisha yake na mwanae ndio laabda ningemsikiliza vinginevyo apambane na hali yake, hawa wazee kwa kuigana ati asinizike wote hao hao
 
View attachment 702913

Pichani mwenye tshet nyekundu ni baba yake mzazi Ommy Dimpoz ambapo Amesema mwanae huyo amemtelekeza miaka Mingi licha ya Dimpoz kusifika kwa kula bata nchi mbalimbali duniani.

Baba Dimpoz ana miaka 64 na ni dereva wa bajaji huko Tabora. Babaji amenunua mwenyewe. Wanaomjua wamesema anashindia mihogo na kachumbari !! .

Mzee Faraji Nyembo akizungumza na Globalpublishers anasema "Ni kama Wema Sepetu anavyohangaika kutafuta mtoto, siku akimpata hata kama hamsaidii chochote atamshukuru tu Mungu hivyo na mimi huwa ninamshukuru Mungu maana nimeshamleta Omary duniani.

Yeye kama mtoto, ndiye anayetakiwa kujua mzazi wake anahitaji nini, yaani ukimuuliza sasa hivi Dimpoz akupe namba yangu, utaona, atakujibu nini maana ninaamini hana.

Nimekuwa nikimpigia, lakini simu yake unaambiwa inatumika, angekuwa anaona umuhimu si angekuwa na namba maalum kwa ajili ya kuwasiliana na mimi baba yake kama mastaa wengine wanavyofanya kuwa na namba kwa ajili ya mashabiki na nyingine ya watu muhimu,” alisema na kuongeza “Mfano nikifa kama leo ni bora huyo Ommy asinizike au kuja Tabora maana watu watampiga na kwanza atasema ni nani wake amefariki dunia maana hivi niko hai hana ushirikiano,” alisema baba huyo

Chanzo: GlobalP
Hawa wazee bana yani umtelekeze mwanao,alelewe kwa shida we uko kwa Macheni unatanua na vishtobe wako huna hata habar kma mwanao hata kula anakula,then leo amekua ana vijisenti we ndo unajitokeza kutoa lana ili usaidiwe.....Useingerema huu!!
 
Umenena vyema, mzazi anayetambua wajibu wake kamwe huwezi msikie akilalamika kutaka kutunzwa na wanawe, tena atajisikia aibu kwa nini hajaanda mali na urithi kwa wanawe, ukiona mzazi anataka kutunzwa na wanawe wakati lijitu lizima lina nguvu na kitambi linakula tu mihogo fahamu huyo ni mpuuzi na hajachangia hata kwa vyovyote kwenye maisha ya mwanae, mtu kama Dimpoz kapambana mwenyewe from zero, hakuna sapoti ya mzazi wala nini....
Leo lijitu linataka kutunzwa, pumbavu..
inaoneka una usongo wa mawazo sana hebu kunywa maji kwanza alfu uje tena hapa jukwaani kutema pumba zako
 
inaoneka una usongo wa mawazo sana hebu kunywa maji kwanza alfu uje tena hapa jukwaani kutema pumba zako
Pumba gani sasa, na wewe unasapoti huyo dingi tozi tu huyo amevaa "kacha" mikononi akae kulelewa na Ommy Dimpoz?!, Mtu bado ana nguvu kabisa za kupiga kazi akae kulalamikia wanawe wamsaidie?! Na wewe unasapoti?! Dingi anaongea na simu kwa pozi ukute anaongea na kimada tu hapo.
 
Hawa wazee bana yani umtelekeze mwanao,alelewe kwa shida we uko kwa Macheni unatanua na vishtobe wako huna hata habar kma mwanao hata kula anakula,then leo amekua ana vijisenti we ndo unajitokeza kutoa lana ili usaidiwe.....Useingerema huu!!
Nawashangaa sana wanaosapoti ujinga huu, sisi kwetu ilikuwa tukipata mazao mengi toka shambani, dingi anauza anaongeza mke, kuna wapuuzi wanasema dingi kama huyo niumize kichwa kumsaidia, kina nina ziada nitampa, ila siwezi kumuweka kwenye bajeti zangu, maisha yeye kachezea, aniache mimi nipambane kivyangu.
 
hakuna kitu kinaitwa laana.
Nashangaa great thinker unawaza low hv
Kama laana haipo basi Yesu alikufa msalabani bure!! Unajua Yusufu alifikaje Misri? Aliuzwa kama mtumwa! Unajua kwanini Wana wa Israel wakawa watumwa? Utaona huo uzi wa hiyo laana ya utumwa kutoka kwa baba yao Yusuf! Unajua Mungu alilaani ardhi baada ya dhambi ya Adamu na Eva? Unajua aina za laana? Unajua nguvu ya damu ya Yesu inavyofanya kazi against hizo laana? Kumtelekeza mzazi wako kwasababu yoyote ile ni kulipiza kisasi, kutosamehe, pia ni kuvunja moja wapo ya amri ya Mungu ya kuwaheshimu Baba na Mama. Baba yako atahukumiwa kwa matendo yake dhidi yako lakini na wewe utahukumiwa kwa matendo yako. Ukitubu vyote lakini usipotubu hili utakufa na hii dhambi! TUSIDANGANYANE! Usimtelekeze mzazi wako ....lipa wema kwa ubaya! Kama hii habari ni kweli ...Ommy amuombe radhi mzee then amsaidie kama mzazi ...simple

Tumsifu Yesu Kristo ...
 
niwaase wana JF wenzangu, kamwe usijenge maisha ili uje kumtegemea mwanao, unachopanda ndicho unachivuna. Ukimlalamikia mwanao jiulize wewe ulimsaidia nini baba yako. Tuwaache watoto wajenge maisha yao.
Wazee wanatukandamiza Sana aisee, ndiyo maana vijana tunaona maisha magumu kumbe no faults za wazee. "Poor economics" kumsomesha mtoto ili alipe fadhira,
 
wakati Yuko mdogo akamuona kilaza leo anajiza pumbavu
 
Mimi ninatakiwa nimjengee yeye. Kama nitashindwa kujenga basi nimboreshee yeye.
Hiyo c
Mimi ninatakiwa nimjengee yeye. Kama nitashindwa kujenga basi nimboreshee yeye.
Hiyo chain siielewi, wewe mtoto umboreshee mzazi, na yeye mzazi amboreshee nani, si mzazi wake na yeye au?, je amemboreshea mzazi wake au anadai tu yeye ilhali yeye hajamboreshea mzazi wake?
 
Tatizo la kina baba waliowengi hutelekeza watoto wao na kujilita ktk kulea watoto wa wapenzi wao (nyumba ndogo) kesho maji yakiwaacha huanza kutoa lawama kwa wale ambao wala hakuwapa msaada kipindi cha neema yake. Mbona ommy wakati anatelekezwa hakupiga kelele mwambie apambane na hali yake lawama za nini
 
Mzee hajui kma mwanaume anasafiri kupakatwa,atulie mana atakula hela haramu ya ommy kubanduliwa
 
mzee anachapa mihogo......kijana inasemekana anapakuliwa emirates......dah wanaume wanaume....
 
Tutumie UJANA wetu VIZURI KWENYE KUTAFUTA,, .... tusiwape lawama WATOTO wetu KSHO...
 
Duuh! Kama hamjali kweli sio sawa aisee.

Ila upande wa pili wa shilingi je katika makuzi ya huyo Ommy je Baba alishiriki mpaka kufika alikofika au ndio alihangaika na Mama pekee halafu yeye anakuja na malalamiko baada ya kuona amekuwa mtu mzima ikiwemo na umaarufu alionao.

nilishamskia ommy dimpoz kwenye interview alisema baba yake alishatangulia mbele ya haki,sasa hii story sijaielewa au baba yake mdogo
 
Back
Top Bottom