Baba ake Ommy Dimpoz alalamika kutengwa na mwanae

Mihogo na kachumbari umeona chakula cha kimaskini sio?
 
Watoto wa kiume wengi mapenzi yao kwa mama tu...
Hata cwez kumlaum Ommy kwa anachokifanya
Kwasababu watu wengi huamin baba anauwezo wa kujikim mahitaji yake mwenyewe bila kupatiwa Msaada
Iko hivyo lakini unatakiwa kujiongeza,kuna baraka gani katika maisha yako kama huwajali au kuwatunza..
 

Je kama mzazi ameuza mali zake kwa ajili ya elimu yako ambayo baadae imekupa kazi nzuri na maisha mazuri je baba anatakiwa aendelee kupambana na hali yake....!! ??
 
Ukute nae hakumjali mwanae, malipo ni hapa hapa duniani
 
Upumbavu na ulimbukeni wa sisi vijana, hivi mapenzi tunayopewa na wazazi wetu, malezi tunayopewa nao wakati wa makuzi yetu, tunashindwaje kuwatunza uzeeni? tena mtu unapata hadi hela za kwenda kuona mechi ulaya unashindwaje kumfanya baba yako afeel proud kukuzaa. ujinga huu ndo unafanya hadi wazazi watamani wangemwagia nje siku natafutwa...
 
Na vise vesa ni hivyohivyo,kuna madingi wengne hadi unatamani angemwaga nje ili usizaliwe kwa mateso unayopitia ukiwa mdogo,,sasa una hastle kivyako unatoboa halafu analeta kitambi chake kukulaumu,Alitakiwa ajue kumwaga ndani,ajue kutoa hela ya matunzo kama kawaida hata kama wamekosana na mke wake,tena siyo kutoa kwa kulazimishwa au kulambwa miguu..pumbavu zake huyo mzee..
 
Je kama mzazi ameuza mali zake kwa ajili ya elimu yako ambayo baadae imekupa kazi nzuri na maisha mazuri je baba anatakiwa aendelee kupambana na hali yake....!! ??
Ndiyo mkuu, alikuwa anatimiza majukumu yake.. Sitakiwi kumlipa wala kumrudishia.
 
Iko hivyo lakini unatakiwa kujiongeza,kuna baraka gani katika maisha yako kama huwajali au kuwatunza..
Na wao wazazi wanatakiwa kujiongeza, kuna baraka gani katika maisha yao kama hawakunijengea msingi mzuri wa maisha? Nahangaika tu na bahasha mkononi kazi hakuna, hata pa kulala sina, nimeamua kujitafutia maisha kupitia mziki wa kizazi kipya na yeye anatokeza na kitambi chake anataka nimjali, baraka gani hizo?!
 
Only in Africa...your parent becomes your child..na hapo unakuta mzazi hakuhangaika Hata kumsomesha huenda Hata alimtelekeza..
Ila Palsa acheni kukimbia majukum. Huu ni ukweli mtupu sababu huwez jua kipindi cha malezi yako ilikuaje.
Ni wajibu wa mtoto kuangalia wazazi na vile vile ni wajibu kwa wazazi kuangalia watoto. Ndipo utofauti wa Binadam na wanyama unapokuja.
 
Mbona anatudhalilisha wala mihogo wengine? Kwanza sio kushindia mihogo, ni kula mihogo, kama una matatizo na mwanao deal nayo mwenyewe achana na mihogo yetu. We mzee vipi?
Hahahahahaha!
 
Watoto wa kiume wengi mapenzi yao kwa mama tu...
Hata cwez kumlaum Ommy kwa anachokifanya
Kwasababu watu wengi huamin baba anauwezo wa kujikim mahitaji yake mwenyewe bila kupatiwa Msaada

Naked trus
 
Ila Palsa acheni kukimbia majukum. Huu ni ukweli mtupu sababu huwez jua kipindi cha malezi yako ilikuaje.
Ni wajibu wa mtoto kuangalia wazazi na vile vile ni wajibu kwa wazazi kuangalia watoto. Ndipo utofauti wa Binadam na wanyama unapokuja.
Haipaswi Kuwa hivyo kamwe...na ndio maana umasikini hauishi!
 
yeye alimsaidia nn mwanae had akafika alipo,,,,au anamkumbuka leo kwa kuwa ni maarufu,,?je anawatototo wangap ,,ukiacHa huyo vitobo vya mashavu,,,mizee mingine ni nuksi tu,,,kisA kAfanikiwa ndo anamuona dili
 
Jamaa hela zake anazipatia tabu, kupumuliwa na waarabu mzee anataka chips kuku tu, eti kachoka mihogo.
 
USIPENDE AMANI WAKATI WA VITA UTAKUFA MAPEMA,KILA MTU AFE NA CHAKE NDIO MAISHA YA MJINI KUZOEZOEA WATU MWISHO UTAZOEA MAJINI.....APAMBANE NA HALI YAKE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…