Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mecheka mbaaya[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna rafiki yangu pia baba ake alikuwa na tabia hiyo Yaani ulikuwa mfumo wao,, anawaambia nawafundisha kutunza pesa maana pesa inahitaji heshima, Huyu hata akimpa mama ya mboga akipita mara 2 iko mezani anachukua na hatoi tena anasema alishatoa [emoji23][emoji23]