Baba Ameniibia ada aliyonipa!!

Baba Ameniibia ada aliyonipa!!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kuna rafiki yangu pia baba ake alikuwa na tabia hiyo Yaani ulikuwa mfumo wao,, anawaambia nawafundisha kutunza pesa maana pesa inahitaji heshima, Huyu hata akimpa mama ya mboga akipita mara 2 iko mezani anachukua na hatoi tena anasema alishatoa [emoji23][emoji23]
Mecheka mbaaya[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
mzee alikuwa anakulia timing tuu. Hahaaaa
 
Baba aliyekupa ada akuibie???? hainiingii kichwani. hebu chunguza kwanza isije ikawa kuwa kimtu kilifanya timing na kuchukuwa hiyo pesa. Kumhukumu baba yako mwizi kabla hujathibitisha ni laana.
 
Back
Top Bottom