Mecheka mbaaya[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna rafiki yangu pia baba ake alikuwa na tabia hiyo Yaani ulikuwa mfumo wao,, anawaambia nawafundisha kutunza pesa maana pesa inahitaji heshima, Huyu hata akimpa mama ya mboga akipita mara 2 iko mezani anachukua na hatoi tena anasema alishatoa [emoji23][emoji23]