Hahaaaa somji juma nakuona unakula ubuyu tu mwenyewe kwa raha zakoWanadai eti mwenye mji wake karudi toka kwa watengeneza Toothpick kisha yule binti aliyesherekea birthday ya miaka 18 wakati ana 17 katoka alikokaa mandela muda mrefu kabla hajawa Rais..
KineheSio vizuri tunangonjekaa
Wengi tumeachwa mkuuMimi hata sivielewi
Mzee wa CALL ME JDAB ni nini
Hahahahaha we nae mpana kumbeMzee wa CALL ME J
Umenisoma mkuu?
Kujiongeza muhimu mkuu, tulegeze vyuma kidogo humuHahahahaha we nae mpana kumbe
Unacheka nini? Kufungua code kunataka utulivu kama kumchinja kobeAhahha nimecheka mkuu
Anaogopa. Chedhea wenye nchi wameiweka kiganjani weweeeHuyu Milly naye kivuruge mxxiuee ona hapa
Hujuagi kodi eeehDAB ni nini
Acha kabisa ila yawezekana bi mashauzi akatoka kimya kimya hivi?au ndo masharti ya baba?Dady is coming soon
Huu ubuyu umenipita sababu ya notification sikuiona daaah
Watu na baba zao,ukiimba tu seya tutoke woteee seyaa seyaaa munatoka siku hio hio
Acha kabisa ila yawezekana bi mashauzi akatoka kimya kimya hivi?au ndo masharti ya baba?
DAB ni nini