Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Baba : Mwanangu muabudu Mwenyezi Mungu na uzitii mamlaka juu yako ,serikali ,mahakama na bunge.
Anyigulile (Mimi) :Nimekusikia baba yangu kipenzi ,nitayaishi mawaidha yako.
Baba : Mwanangu litii sana dola la nchi kwani katika ardhi (Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania) linapotawala ndiko zinapopatikana nyumba za ibada za kwenda salama mbinguni ,umeona dola lilivyo na nguvu....yaani kupitia utulivu na amani juu ya ardhi ndipo ibada zako zinakamilika humo katika nyumba za ibada.
Anyigulile(Mimi): Baba yangu nimekuelewa ,sitolisaliti dola langu kwa namna yoyote iwayo ,nitawatii viongozi wa dola ili tu nipate utulivu wa kufanya ibada zangu na nikifa niende katika ufalme wa mbingu.
Baba : Umenielewa vyema Mwanangu na usiache KUWASIMULIA na KUWAUSIA wajukuu zangu na haya nao wawafundishe watoto na wajukuu zao mpaka pale mwana wa adamu atakapokuja kutunyakua .
Anyigulile (Mimi): BWANA akubariki sana baba yangu ,aaamin aaaamin [emoji7]
SHALOM MARANATHA[emoji7][emoji7]
#Yetzerhatov[emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Anyigulile (Mimi) :Nimekusikia baba yangu kipenzi ,nitayaishi mawaidha yako.
Baba : Mwanangu litii sana dola la nchi kwani katika ardhi (Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania) linapotawala ndiko zinapopatikana nyumba za ibada za kwenda salama mbinguni ,umeona dola lilivyo na nguvu....yaani kupitia utulivu na amani juu ya ardhi ndipo ibada zako zinakamilika humo katika nyumba za ibada.
Anyigulile(Mimi): Baba yangu nimekuelewa ,sitolisaliti dola langu kwa namna yoyote iwayo ,nitawatii viongozi wa dola ili tu nipate utulivu wa kufanya ibada zangu na nikifa niende katika ufalme wa mbingu.
Baba : Umenielewa vyema Mwanangu na usiache KUWASIMULIA na KUWAUSIA wajukuu zangu na haya nao wawafundishe watoto na wajukuu zao mpaka pale mwana wa adamu atakapokuja kutunyakua .
Anyigulile (Mimi): BWANA akubariki sana baba yangu ,aaamin aaaamin [emoji7]
SHALOM MARANATHA[emoji7][emoji7]
#Yetzerhatov[emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app