Baba : Anyigulile chukua hivi vitabu viwili vizito mno ,cha duniani (katiba ya Tanzania) na cha mbinguni

Baba : Anyigulile chukua hivi vitabu viwili vizito mno ,cha duniani (katiba ya Tanzania) na cha mbinguni

20240908_151114.jpg
 
Umasikini mbaya sana
Katika kulisimamisha na kulilinda taifa baba wa taifa El Commandante JKN alituasa juu ya maadui wakuu 3;
-Ujinga
-Umaskini
-Maradhi.

Umaskini ni matokeo ya ujinga kama nilivyotanabahisha katika bandiko langu....

KUTOLIHESHIMU TAIFA NI PAMOJA NA KUTOWATHAMINI NA KUWAJALI VIONGOZI WAKE....

#Uwe na usiku mwema ,amin[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom