Baba Askofu anapowashughulikia wajane..........


Ruta umetumia lugha ya ushairi ambayo ujumbe wake unahitaji tafakari.

Baadhi ya wachangiaji hapa hawakukupata vizuri. Hasa maana ya Baba Askofu uliyotumia hapa.
 
Wajane nao wanahitaji kuliwazwa jamani. Tatizo ni kwamba nani anatakiwa kuwaliwaza!
 
Ruta umetumia lugha ya ushairi ambayo ujumbe wake unahitaji tafakari.

Baadhi ya wachangiaji hapa hawakukupata vizuri. Hasa maana ya Baba Askofu uliyotumia hapa.

Mwanaukweli umelonga ukweli kabisa na ndiyo kazi ya mwanafasihi simulizi.....[MENTION]@Mwanaukweli[/MENTION]
 
hahhahhahaaa........nitakujibu kesho....ruta bwana!:yo:

kesho haifiki jimwage mie nakusubiria tu...................[MENTION]@Vaislay[/MENTION]
 
Wajane nao wanahitaji kuliwazwa jamani. Tatizo ni kwamba nani anatakiwa kuwaliwaza!

Mungi uko sahihi.....tatizo linakuja pale kero zao ndiyo shubiri yao..............[MENTION]@Mungi[/MENTION]
 
Duh hii kali, Baba Askofu amegeuka na kuwa kifimbocheza cha Wajane mmmmh...........................
 

Siyo kuwashughulikia bali nikuwapatia msaada wa kimwili
 
hii ni danganya toto kabisaaa!unawezaje kuzuia kitu ambacho Mungu amekupa kifanya kazi yake af ukakizuia haya ndio madahara yake.well done babaa askofu!!!!
 
Baba Askofu lazima atakuwa anawashughulikia wote hata wale wake za watu natoa angalizo tu tu kwa wale wote wenye wake zao kuweni makini sana na Baba Askofu nimemvulia:yo:
 
But mkuu kuna kipengele kwenye matendo ya huruma cha kuwafariji wajane. (Nadhani kumfariji mtu kuna definition pana)
 
Anashughulika nao kwa sababu wako kwenye zizi lake. Hamna kosa hapo; labda kama anatenda nao dhambi ndo mbaya!
 
Mimi binafsi hawa maaskofu hasa wa makanisa yaliyochomoza nchini na duniani kote kama miiba ya michongoma wananikwaza sana. Wanafanya mambo kinyume kabisa na maandiko. Uzinzi na uasherati umetawala sana katika dini hizi. Kuwashughulikia wajane ndio kuwashughulikia kimwili na si kiroho hapo ndipo ninapokwazika. Hahahha tusubiri Yesu atakaporudi mara ya pili wa kuhukumiwa ni wengi.
 
Sasa huyu baba Askofu mbona mbona anakwenda kinyume na maadaili?
Na je hawa wajane hawamjengei mazingira ya kumtega kweli?
 
Duh hii kali, Baba Askofu amegeuka na kuwa kifimbocheza cha Wajane mmmmh......................... ..

ndivyo walivyo kazi ya dini ni sehemu au njia ya kujipatia ugali lakini Mungu hawako naye hata chembe.....
 
Sasa huyu baba Askofu mbona mbona anakwenda kinyume na maadaili?
Na je hawa wajane hawamjengei mazingira ya kumtega kweli?

FirstLady hujui mnyonge hana haki hata kama anayo?[MENTION]@FirstLady[/MENTION]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…