Baba Askofu Dr. Alex Gehaz Malasusa, Mkuu wa KKKT na mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini ya Hospital ya KCMC ! KCMC ipo ICU!

Baba Askofu Dr. Alex Gehaz Malasusa, Mkuu wa KKKT na mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini ya Hospital ya KCMC ! KCMC ipo ICU!

milele amina

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
6,045
Reaction score
8,080
Msikilize huyu mtanzania!!

Mkurugenzi wa Hospital hiyo kubwa nchini,amejikita kwenye miradi ya ujenzi,akiachilia mbali maisha ya watu!

Idadi ya vifo ni kubwa mno, na Kuna uwezekano mkubwa mmiliki wa duka kubwa la majeneza nje ya hospital hiyo ni la wa Mkurugenzi wa KCMC

Manesi wamezidiwa kazi, wagonjwa ni wengi , madaktari wameanzisha vituo na hospital zao mjini kibao na Kila Kona na hazitumii Wala bima😭😭😭

Kuna tabia imezuka hospital ya KCMC, intern ni wengi kuliko manesi na madaktari.

Matokeo yake, huduma inatolewa below standard kupitia intern.

Kuna wazungu wapo intern,hawajui kitu chochote na sijui wanatokea nchi Gani ,ndio wanatunika kutibu watu ambao wengi wanafariki kukosa umakini na madaktari bingwa

Angalizo: Serikali ifanye ukaguzi WA mara Kwa mara kukagua mochwari ya hospital ya Rufaa ya Kanda ya KCMC, ilibkujua idadi ya watu waliofariki na sababu za vifo vyao,Hali ni mbaya mochari Kila siku imejaa!*
 

Attachments

  • VID-20250125-WA0013.mp4
    30.8 MB
Issue ya KCMC ni ya muda sana, lakin kwamba hawana fedha sio kweli..

GSF wanaweka fedha nyingi sana, Bima inachelewa kulipa pia ila wanalipa..
Ukondoo na ulegelege, na uzembe wa wafanyakaz pale ni culture,

Hili lipo mkononi mwa Mkurugenz wa health services hapo
 
Msikilize huyu mtanzania!!

Mkurugenzi wa Hospital hiyo kubwa nchini,amejikita kwenye miradi ya ujenzi,akiachilia mbali maisha ya watu!

Idadi ya vifo ni kubwa mno, na Kuna uwezekano mkubwa mmiliki wa duka kubwa la majeneza nje ya hospital hiyo ni la wa Mkurugenzi wa KCMC

Manesi wamezidiwa kazi, wagonjwa ni wengi , madaktari wameanzisha vituo na hospital zao mjini kibao na Kila Kona na hazitumii Wala bima😭😭😭

Kuna tabia imezuka hospital ya KCMC, intern ni wengi kuliko manesi na madaktari.

Matokeo yake, huduma inatolewa below standard kupitia intern.

Kuna wazungu wapo intern,hawajui kitu chochote na sijui wanatokea nchi Gani ,ndio wanatunika kutibu watu ambao wengi wanafariki kukosa umakini na madaktari bingwa

Angalizo: Serikali ifanye ukaguzi WA mara Kwa mara kukagua mochwari ya hospital ya Rufaa ya Kanda ya KCMC, ilibkujua idadi ya watu waliofariki na sababu za vifo vyao,Hali ni mbaya mochari Kila siku imejaa!*
Mmeiua selian ya mjini Kwa majungu

Sasa mnaiua KCMC
 
Msikilize huyu mtanzania!!

Mkurugenzi wa Hospital hiyo kubwa nchini,amejikita kwenye miradi ya ujenzi,akiachilia mbali maisha ya watu!

Idadi ya vifo ni kubwa mno, na Kuna uwezekano mkubwa mmiliki wa duka kubwa la majeneza nje ya hospital hiyo ni la wa Mkurugenzi wa KCMC

Manesi wamezidiwa kazi, wagonjwa ni wengi , madaktari wameanzisha vituo na hospital zao mjini kibao na Kila Kona na hazitumii Wala bima😭😭😭

Kuna tabia imezuka hospital ya KCMC, intern ni wengi kuliko manesi na madaktari.

Matokeo yake, huduma inatolewa below standard kupitia intern.

Kuna wazungu wapo intern,hawajui kitu chochote na sijui wanatokea nchi Gani ,ndio wanatunika kutibu watu ambao wengi wanafariki kukosa umakini na madaktari bingwa

Angalizo: Serikali ifanye ukaguzi WA mara Kwa mara kukagua mochwari ya hospital ya Rufaa ya Kanda ya KCMC, ilibkujua idadi ya watu waliofariki na sababu za vifo vyao,Hali ni mbaya mochari Kila siku imejaa!*
Ride Natty Ride
 
Madaktari wengi wanapita hapo hospital kuelekea KCMC university,kufundisha,wanakimbia kutibu wagonjwa.

Kuna haja KCMC kuunda timu ya kugawa wanaotaka kufundisha chuo waende na wasitibu wagonjwa,na wanaotaka kutibu wagonjwa wasiende kufundisha chuoni hapo

Bila utaratibu huu, vifo vitakuwa vingi kupita maelezo.
 
Back
Top Bottom