Mpanda nyangobe
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 762
- 1,688
Afanye "collabo" na mama Diamond, ila naamini huyu mzee enzi za ujana wake alikuwa mhuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Diamond amsaidie babaake kumpeleka Milembe.
Mitandao inatupa platform ya kuandika chochote.
Hope una wazazi pia.
Duh!mama mond alikuwa anauza nanihino miaka ya nyuma,mzee alikuwa mteja wake
Hahahahahah mzee alikuwa brazameniAfanye "collabo" na mama Diamond, ila naamini huyu mzee enzi za ujana wake alikuwa mhuni
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mambo ni mengi kweli halafu muda mchache.... Last year kajaribu sana kumchafua Mondi (kupitia global publishers) Mungu bariki Naseeb akajaaliwa hekima ya kukaa kimya... Hii ilisaidia sana kuliua hili jambo.... Sasa anataka COLABO... Dunia simama nishukeMzee Abdul ambae ni baba mzazi wa Diamond na Queen Darlin baada ya kuachia ngoma ambayo kaipa jina la dudu la yuyu amesema wimbo huo kwa sasa unatrend sana na imepokewa vyema na mashabiki pamoja na wanae.
Amesema kwa sasa hana mpango wa kutoa hit song labda mpaka Diamond au Darlin watakapomuomba collabo.
Kama huyu tuAfanye "collabo" na mama Diamond, ila naamini huyu mzee enzi za ujana wake alikuwa mhuni
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23]
Mbona hakuna wimbo wenye jina ilo mkuu,au unaongelea mwewe ambao mzee kashirikishwa mwshoni aweke vionjoMzee Abdul ambae ni baba mzazi wa Diamond na Queen Darlin baada ya kuachia ngoma ambayo kaipa jina la dudu la yuyu amesema wimbo huo kwa sasa unatrend sana na imepokewa vyema na mashabiki pamoja na wanae.
Amesema kwa sasa hana mpango wa kutoa hit song labda mpaka Diamond au Darlin watakapomuomba collabo.
Anko Shamte atakubali hiyo Collabo?Afanye "collabo" na mama Diamond, ila naamini huyu mzee enzi za ujana wake alikuwa mhuni
Sent using Jamii Forums mobile app