Mpanda nyangobe
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 762
- 1,688
Mzee Abdul ambae ni baba mzazi wa Diamond na Queen Darlin baada ya kuachia ngoma ambayo kaipa jina la dudu la yuyu amesema wimbo huo kwa sasa unatrend sana na imepokewa vyema na mashabiki pamoja na wanae.
Amesema kwa sasa hana mpango wa kutoa hit song labda mpaka Diamond au Darlin watakapomuomba collabo.
Amesema kwa sasa hana mpango wa kutoa hit song labda mpaka Diamond au Darlin watakapomuomba collabo.