Baba Diamond aomba mwanae amkatie angalau bima ya afya

Kuna kipindi jamaa alianza kumsaidia,ila mzee naye ujana mwingi akaanza kula wabebez, asikae kulaumu tu na yeye ajithathmin
 
Uncle shamte

Uncle shamte

Uncle shamte..


Punguza kusimamia ukucha,,,bi Sandra amsamehe mzazi mwenzie.
Yule ndy fani yake mzee naona jiko limepata mpishi[emoji23][emoji23][emoji23]
Lazima ashikilie geaaaa

Ova
 
Ndio maana wanaume tunaishi mda mfupi? Anyway hatujui nyuma ya pazi maana tumesikiliza upande moja
 
Yule ndy fani yake mzee naona jiko limepata mpishi[emoji23][emoji23][emoji23]
Lazima ashikilie geaaaa

Ova
Tena kamchanganya sana huyo mama diamond,,, kufikia sasa kusema hadharani kwamba hata mzee Abdul si mzazi halisi wa diamond.
Huyo bibi nuksi tupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…