Baba Diamond aomba mwanae amkatie angalau bima ya afya

Huyu mzee ni mpuuzi sana...[emoji16] [emoji16]
Yaani kila anapo taka kupaza sauti, ni lazima aongee na watu wa media...[emoji55] [emoji55]
Na mbaya zaidi ni kwamba anajiskaha kama hao wanao muhoji ni watafuta fursa. Yaani wanatumia jina la Diamond na kumuhoji baba yake, kisha wanaanika kwenye public ili wapate pesa....[emoji57] [emoji57]
 
Mzazi ni mzazi tu no matter what. Hatujui kipi hasa huyu mzee alimfanyia Diamond lakini kiubinadamu nafikiri imetosha sasa ameanza kulia siku nyingi sana mzee wa watu! Angemsamehe tu, amuwezeshe Hata kidogo then aendelee na mambo yake! Nafikiri Hata mama Diamond ni kikwazo kwa Diamond kumsamehe mzee Wake, akifikiria jinsi mama alivyopambana kwa ajili yake anashindwa kwenda kinyume na mama yake!
 
Watajaza wenyewe na maisha yao. Ila niseme tu huyo baba awache kulalamika kwenye vyombo vya habari sababu suluhu haipatikani huko.
Afanye nini sasa kama hakuna altrnative, ogopa sana una matatizo then huna alternative unaweza ukafa kwa uchungu tu.
 
Diamond ni mjinga sanaa,asichokijua kuwa mayeso ya mzee wake ndiyo yaliyompa hasira hadi akapambana hadi kufikia Hapo alipo kwanza angetakiwa amshukuru sanaa mzee .huenda baba asingefanya aliyomfanyia basi angekuwa bado kitaa anapambana na hali hii mbovu mbovu.
 
kavaa cheni na kujichora tatoo.....
 
Watajaza wenyewe na maisha yao. Ila niseme tu huyo baba awache kulalamika kwenye vyombo vya habari sababu suluhu haipatikani huko.
Siti yako inakusubiri kule kitwe ya mbele kabisa uone burudani
 
Fikili nje ya Box basi, bila us ku publish kwenye public angempata hata uyo zubeda anayemwita mwanaye wa iyari.

Wanadamu tukiwa kwenye furaha tunahisi kama teyari tupo peponi dunia haipo rahisi boss.

Ukitaka kujua nenda jukwaa la kazi na tenda utayajua maisha.
 
Asichojua Diamond mzee wake akifa ataandamwa sana, na itakuwa ni kama laana kwake. Namsihi achukue hatua mapema kabla mambo hayajaharibika. Misaada anayotoa kilasiku haina maana kama ameshindwa kumsaidia babayake
 
Watajaza wenyewe na maisha yao. Ila niseme tu huyo baba awache kulalamika kwenye vyombo vya habari sababu suluhu haipatikani huko.
Umejitahid,hatimaye umesha kuwa Jf expert Member
 
Ficha upumbavu wako mkuu..
 
Akianza kuwa mahututi ndio watajifanya wanampeleka India. Ila dingi nae anafeli si achukulie Kama Hana mtoto tu
Unajua mjomba...kuna kipindi una kaza kama mwanaume halafu unapiga moyo konde na kujiuliza..."huu ukauzu unaweza niua"...hapo ndio hatua aliyofikia baba Chibu...anaona kwa nini aishi kwa mateso wkt watoto anao....
Ila Chibu kama anaakili na kujali.....arudishe moyo tuu....anafanya mengi sana ya kumpatia thawabu kwa muumba wake...lakini hili la mzazi wake aliangalie kwa mapana yakee....hii ndio thawabu namba moja
 
Huyu mzee apambane tu na hali yake... Watu kama hawa wanakera sana..yaan hujui hata uchungu wa mwana ni nn... kaz yako ilikuwa kuweka mimba tu....akabeba mwingine,,akazaa kwa uchungu,,akalea kwa tabu...Leo analalamika lalamika hovyo...ajifunze kwanza mfyuuuu
 
Hapa wa kuwekwa sawa ni mama chibu. He has been brainwashed by her. Nachibu anasimamia Sana kauli za bimkubwa
 
Mmh. Toka yamuanze kama wa kufa anheshakufa Mkuu. We unadhani hao mwananchi watamsaidia nini?
Unafikili uyo zubeda anayemwita mwanawe wa iyari angempata vipi bila media, mkuu omba mungu tu lakini don't undermine a power of media.
 
Hili liwe funzo kwa madingi ambao wanakimba majukumu yao.....angeliambatana nao enzi za shida asingelipata shida nyakati hizi za mavuno.

Hapa anavuna mbegu ya chuki aliyoipanda miaka tele nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…