Baba Kanumba: Mama Kanumba acha njaa

Baba Kanumba: Mama Kanumba acha njaa

Amuweke mjini wapi? Nasikia alikuwa anataka apate huduma sawa kama mama lulu, yani huyu mama ana kichaa, ila ka lulu kalijitahid mwanzoni kutoa huduma, ila hata wewe ungechoka atahudumiwa mpaka lini? Mama yake lulu mwenyew kanunuliwa piki piki maana lulu alikuwa anamsema sana mama yake kwa watu kuwa anaomba sana hela halafu anatapanya na kunywa pombe

Kweli wamama wengine wagumu kuelewa Lulu alifanya la maana ku stopisha huduma maana hata asingeona aibu the great aliacha mali lakini akashindwa kuzi manage mapema akauza baba kanumba yuko.right
 
ImageUploadedByJamiiForums1405002129.709123.jpg
Mama ndani ya Brazilian hair mtamtaka alivyopendeza??
 
hivi karibuni alimuona mjini Shinyanga ambako alikuwa akiomba rambirambi kwenye kumbiza starehe .

hahahahaaaaaaaaaaaaaaa....... imenilazimu kuangalia tarehe ya hii post ili kuhakikisha sio ya miaka kadhaa iliyopita,,..lol
 
Huyu mama na hyu mzee mambo Yao yameshindikana. Sasa Huyu bibi kanumba nae arobaini ya msiba wa kanumba haijafika tu arudi kwao? Na alishagombana na sethi Yule dogo wanaesaidiana. Amemzushia kwamba anatumia jina la kanumba na Mali zake kupiga Dili mjini. Arudi akalime bwana Mvua za vuli zinakaribia. Au Ndio ile kijijini sirudi tutabanana humu humu wewe ukipita Ilala Mimi napitia manzese
hehhehee.... stress za uzeeni ni nooma sanaa..
 
Back
Top Bottom