Baba Kanumba: Wanaotaka uzao wa Kanumba wajitokeza

Baba Kanumba: Wanaotaka uzao wa Kanumba wajitokeza

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
BabaKanumba2.jpg

Baba wa marehemu Steven Kanumba, Charles Kusekwa. Na Gladness Mallya

BABA wa marehemu Steven Kanumba, Charles Kusekwa amefunguka kuwa baada ya kutangaza kuwa wanawake wanaotaka uzao wake wajitokeze azae nao, wamejitokeza kumi lakini akawapa masharti, yakawashinda.

Akizungumza na mwandishi wetu, baba Kanumba aliweka bayana kuwa warembo hao waliojitokeza aliwapa sharti la kwenda kupima Ukimwi lakini ajabu wote waliingia mitini.

"Wamejitokeza vizuri lakini nashangaa wote wamekuwa wazito katika suala la kupima Ukimwi wameingia mitini, kama wapo wengine watakaolimudu sharti hilo, nawakaribisha," alisema baba Kanumba.
 
Du, kumbe mzee ana kipaji cha usanii kama Steven kanumba!
Like father like son!
 
Anatafuta kick?? Si aende bongo movie??,chiz kwel anajifanya ndo ana damu kali anazaa vipaji au??
 
View attachment 123698

Baba wa marehemu Steven Kanumba, Charles Kusekwa. Na Gladness Mallya

BABA wa marehemu Steven Kanumba, Charles Kusekwa amefunguka kuwa baada ya kutangaza kuwa wanawake wanaotaka uzao wake wajitokeze azae nao, wamejitokeza kumi lakini akawapa masharti, yakawashinda.

Akizungumza na mwandishi wetu, baba Kanumba aliweka bayana kuwa warembo hao waliojitokeza aliwapa sharti la kwenda kupima Ukimwi lakini ajabu wote waliingia mitini.

"Wamejitokeza vizuri lakini nashangaa wote wamekuwa wazito katika suala la kupima Ukimwi wameingia mitini, kama wapo wengine watakaolimudu sharti hilo, nawakaribisha," alisema baba Kanumba.
ha ha ha ha ha ha ha haaaa yaani nimecheka aisee mpaka bas duniani kuna watu wa ajabu jamani khaaa
 
Back
Top Bottom