Baba kasema leo saa7 mchana Clouds TV/FM.

Baba kasema leo saa7 mchana Clouds TV/FM.

Ngareroo

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2019
Posts
2,123
Reaction score
2,449
Katika hali isiyo ya kawaida,kuna raia shazi wameonekana katika maeneo mbalimbali ya Darisalade wakiwa na mabango. yaliyoandikwa'Baba Kasema'Wajuba hao wameonekana fas za kawe,Buguruni,Barabara ya posta nk.
Wao ni kina nani wabishane na maelekezo ya Baba?
Leo kuanzia saa7 Mchana Macho yote na Masikio kwenye XXL ya Clouds FM na Clouds TV.
@NgarenaroBoy.
 

Attachments

  • a.jpg
    a.jpg
    15.5 KB · Views: 32
  • ah.jpg
    ah.jpg
    11 KB · Views: 32
  • a.jpg
    a.jpg
    21.5 KB · Views: 29
  • ah.jpg
    ah.jpg
    19.5 KB · Views: 29
  • a.jpg
    a.jpg
    15.1 KB · Views: 30
siro!!!!!!!! kula nao kiplate kimoja!! fujo tuu
 
Nilijua sijui ni Makonda anakuja kusemaje!!!
 
Back
Top Bottom