[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hadi vyuo vya NACTE vinatoa PhD [emoji1][emoji1][emoji1]
Yupi Sasa mtunuku au mtunukiwa?Huyo kavuta cannabis sio bure.π
πππππππππKama kajichapia vileeeHicho cheti kilivyoandikwa tuu ni majanga [emoji3][emoji3][emoji3]
Hapana kwakweli maana hata Cha mwanangu cha kindergarten kizuri hakijapindapinda hivyoCheti kimefanana na cheti alichopewa mwanangu chekechea [emoji23][emoji23]
Hapana kwakweli maana hata Cha mwanangu cha kindergarten kizuri hakijapindapinda hivyo
Wale wenye PhD za ukweli mnaonaje mkawashitaki Hawa wanaotania Taaluma + Tahasusi zenu[emoji23][emoji23][emoji23]
Hao watu wameamua utani sasa
Wale wenye PhD za ukweli mnaonaje mkawashitaki Hawa wanaotania Taaluma + Tahasusi zenu