hyo mil50 bora angemtafuta johnkallage wa azaboy au yrene showbizdefine akawapa mil4 wangetoa bonge la kitu hyo 46 angemjengea baba yake servant kota na funcargo mpya sio kama ili iliyojichokea ya gurumo kwa mil22,mil 24 angemjengea tena mama yake na iliyobaki amsomeshe brother wake jimmy jones amlipie ada ya miaka mi3 cbe asome b.a apate hata dip aanze na cer 1y na dip 2yrs.
Viskuumize kichwa bibie wanatafuta namna ya kurudi kwenye gem tu na kuongelewa..jiulize ni utunz upi wa bba levo na uimbaj wake ule mpka diamond amuibie..kweli??
Hyo mil50 bora angemtafuta Johnkallage wa azaboy au yrene showbizdefine akawapa mil4 wangetoa bonge la kitu hyo 46 angemjengea baba yake servant kota na funcargo mpya sio kama ili iliyojichokea ya gurumo kwa mil22,mil 24 angemjengea tena mama yake na iliyobaki amsomeshe brother wake jimmy jones amlipie ada ya miaka mi3 cbe asome B.A apate hata dip aanze na cer 1y na dip 2yrs.
Hyo mil50 bora angemtafuta Johnkallage wa azaboy au yrene showbizdefine akawapa mil4 wangetoa bonge la kitu hyo 46 angemjengea baba yake servant kota na funcargo mpya sio kama ili iliyojichokea ya gurumo kwa mil22,mil 24 angemjengea tena mama yake na iliyobaki amsomeshe brother wake jimmy jones amlipie ada ya miaka mi3 cbe asome B.A apate hata dip aanze na cer 1y na dip 2yrs.
hivi baba levo kweli hajielewi.
hivi ana hati miliki ya hayo maneno?
hizi allegations zake ziko weak sana bora hata dyna.
Ni wakati sasa heaven on desert ukamshauri boss wako diamond ajiunge humu ili awe anajibu maswali mengine mwenyewe.
hana kaz chache kias cha kupata mda wa kujibu vitu visivyo na kichwa wala miguu..diamond hajawai kuiba idea,wimbo wala beat OVER
kwa hiyo unataka kuniambia yeye hapati muda wa kuandika hata kwenye mitandao ya kijamii?
Na kumbuka hata kwenye tuhuma za yule mganga alijibu na hata tuhuma za wimbo wa nataka kulewa alijibu tuhuma na hizo zina utofauti gani na hizi?
Kama ndivyo hivi unamjibia diamond maswali basi kuna tatizo kabisa.
Diamond anatakiwa kujibu hizi tuhuma hasa ya dyna na angekuwa msanii wa kwanza kuja mwenyewe kama utaweza kumshauri maana si kila kitu wewe unaweza kukijibu.
heaven on desert mshauri boss wako awe member hapa asiogope.
n tuhuma ambazo hazna maana ndo mana huon akitamka chochote hata kwenye social netwek zake
I sayd diamond ana kaz nying mno saiv tu yupo kenya kwa deal la coca hawez kukaa anajibu tuhuma za kipuuz ka hizi za dayna.beat n mari ya producer na awali alipewa daa daynna aitumie akakataa kuwa n mbaya akapewa diamond tena dayn aliulizwa akasema hakun tatizo.so u thik diamond anao mda wa kujibu huu ujinga
n tuhuma ambazo hazna maana ndo mana huon akitamka chochote hata kwenye social netwek zake
Unajaribu kusema dyna kachanganyikiwa?
kwa hiyo unasema hawezi kuwa member humu sababu ana kazi nyingi? kipindi anajibu tuhuma za waganga na hile ya pasha hakuwa na kazi?
hivi diamond ana kosa muda wa kuongea na kujibu maswali ya fans wake? ni kweli yuko busy kiasi hiki unacho sema.
NAANZA KUPATA MASHAKA NA WEWE.