Msanii Baba levo anefunguka leo akiwa kwenye press conference yakutangazwa kuwa balozi mpya wa Soka bet amesema baada ya kushinda hii kesi aliyoshitakiwa na Harmonize atamfungulia mashitaka harmonize ya kuchafua brand yake.
Akafunguka zaidi kuwa Harmonize amekurupuka kumshitaki bila kutumia akili pamoja na mwanasheria wake mimi nitamuonesha hasara ya kukurupuka ni nini nataka hii kitu kiende Mahakamani na sitaki tumalize kiundugu huwezi kunishitaki nimevujisha video zako za utupu ikiwa me sina ukaribu na wewe ninashangaa sijui hiyo video unaipataje sijui atadhibitashe Mahakamani.
Akafunguka zaidi kuwa Harmonize amekurupuka kumshitaki bila kutumia akili pamoja na mwanasheria wake mimi nitamuonesha hasara ya kukurupuka ni nini nataka hii kitu kiende Mahakamani na sitaki tumalize kiundugu huwezi kunishitaki nimevujisha video zako za utupu ikiwa me sina ukaribu na wewe ninashangaa sijui hiyo video unaipataje sijui atadhibitashe Mahakamani.