Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iko hivo ndugu, hela hizi we acha tu huu uchizi anaofanya sidhani Kama anapenda. Ni harakati za kuhakikisha familia inapata mahitaji ya msingi na kuishi sehemu ya ndoto zetu.Mkuu,haya kwakuwa mwenyewe amesema hivo ngoja nikubali
Pumbav hilo baba levo lenyewe si ndio limeimba hamo maviMsanii Baba levo anefunguka Leo akiwa kwenye press conference yakutangazwa kuwa balozi mpya wa Soka bet amesema baada ya kushinda hii kesi aliyoshitakiwa na harmonize atamfungulia mashitaka harmonize ya kuchafua brand yake.Akafunguka zaidi kuwa harmonize amekurupuka kumshitaki bila kutumia akili pamoja na mwanasheria wake mimi nitamuonesha hasara ya kukurupuka ni nini nataka hii kitu kiende mahakamani na sitaki tumalize kiundugu huwezi kunishitaki nimevujisha video zako za utupu ikiwa me Sina ukaribu na wewe ninashangaa sijui hiyo video unaipataje sijui atadhibitashe mahakamani.
Ni kweli, ubalozi wa brands sio jambo dogo, nimewahi kuona pia anasema mwanaye analipiwa ada na DiamondIko hivo ndugu, hela hizi we acha tu huu uchizi anaofanya sidhani Kama anapenda. Ni harakati za kuhakikisha familia inapata mahitaji ya msingi na kuishi sehemu ya ndoto zetu.
iko hivo ndugu.Ni kweli, ubalozi wa brands sio jambo dogo, nimewahi kuona pia anasema mwanaye analipiwa ada na Diamond
hivi ana kama ngapi hivi. anavuka fote?Baba Levo act like your age
Exactly hio Ni kesi tayari ya kumchafua mtuPumbav hilo baba levo lenyewe si ndio limeimba hamo mavi
Exactly hio Ni kesi tayari ya kumchafua mtuO