Baba Levo kudai fidia kuhusu kesi yake aliyoshitakiwa na Harmonize

Pumbav hilo baba levo lenyewe si ndio limeimba hamo mavi
 
Iko hivo ndugu, hela hizi we acha tu huu uchizi anaofanya sidhani Kama anapenda. Ni harakati za kuhakikisha familia inapata mahitaji ya msingi na kuishi sehemu ya ndoto zetu.
Ni kweli, ubalozi wa brands sio jambo dogo, nimewahi kuona pia anasema mwanaye analipiwa ada na Diamond
 
WAHA wana akili zao ni za kishamba. Kelele nyingi kama Zitto Kabwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…