Baba Levo: Majengo ya Kariakoo hayavutii kuwepo mjini, panatakiwa pabaki peupe pyee

Baba Levo: Majengo ya Kariakoo hayavutii kuwepo mjini, panatakiwa pabaki peupe pyee

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Baba Levo anaiota Times Square huku!


Mtangazaji wa Wasafi Media, Baba Levo, ametoa maoni yake kuhusu majengo ya eneo maarufu la Kariakoo jijini Dar es Salaam, akisema kuwa hayafai kuwepo katikati ya jiji.

"Majengo ya Kariakoo, asilimia kubwa, kama kweli tunataka haki, eneo hilo linatakiwa libakie peupe (white).

Kwanza yako mjini, pili mfumo wa ujenzi wake hauvutii kuwa sehemu ya katikati ya jiji." Akifananisha na mpango wa Marekani kuwa na Times Square ambapo ni kivutio cha watu wengi duniani.

 
Majengo ya Dar es salaam asilimia kubwa yanahitaji kupigwa rangi.

Unaweza kwenda hata ushuani ukakuta jengo jeupe lakini lina kama ukurutu mweusi.

Kama hili ni suala la hali ya hewa inabidi kufikiria suluhisho la rangi itakayohimiki hali ya hewa ya Dar bila kuharibika hivyo.

Nyumba za Msajili wa Majumba/ NHC za Upanga zimekubuhu kwa hili.
 
Majengo ya Dar es salaam asilimia kubwa yanahitaji kupigwa rangi.

Unaweza kwenda hata ushuani ukakuta jengo jeupe lakini lina kama ukurutu mweusi.

Kama hili ni suala la hali ya hewa inabidi kufikiria suluhisho la rangi itakayohimiki hali ya hewa ya Dar bila kuharibika hivyo.

Nyumba za Msajili wa Majumba/ NHC za Upanga zimekubuhu kwa hili.
Alafu Kuna maghorofa ya ufundi polisi.

Yalivyo na rangi chafu plus ile harufu ya chemba ambayo haiishagi ile mitaa!! Unabaki kuijiuliza "Mimi ni mpita njia tu hapa,vipi wanaoishi hii mitaa Kila siku hizi nyumba zilivyo chafu na zinavyonuka kama mizoga wanaishije?"

Dar ni mji mchafu sana.
 
Alafu Kuna maghorofa ya ufundi polisi.

Yalivyo na rangi chafu plus ile harufu ya chemba ambayo haiishagi ile mitaa!! Unabaki kuijiuliza "Mimi ni mpita njia tu hapa,vipi wanaoishi hii mitaa Kila siku hizi nyumba zilivyo chafu na zinavyonuka kama mizoga wanaishije?"

Dar ni mji mchafu sana.
Kwenye harufu, wanaoishi pale wanapata kitu kinaitwa "nose blindness".

Yani pua zao zinakuwa zimeshaizoea ile harufu mpaka hawainusi tena.

Ni kama vile mtu aliyeyazoea marashi yake, anajipiga mengi hapati harufu yake, lqkini nyie wa pembeni mnaona huyu kapaka marashi mengi sana.

Ukija wewe kutoka sehemu nyingine ukawaambia hapa pananuka, wataona kama unawatukana bure tu.
 
Yaani seriously analinganisha USA, taifa size ya Bara, bearer of innovations na Tanzania iliyopata uhuru kutoka kwa Waingereza miaka 60 nyuma? Sababu tatizo sio Maghorofa kuchakaa tu, bali tatizo ni mipango miji hafifu.

Anyway, at least ameona jinsi Taifa letu lilivyo backwards. Na bado tuna safari ndefu sana. Maybe hii new generation inavyozidi kuwa exposured to outside environment na influence inaweza kuja leta mabadiriko rapidly.
 
Wakuu

Baba Levo anaiota Times Square huku!


Mtangazaji wa Wasafi Media, Baba Levo, ametoa maoni yake kuhusu majengo ya eneo maarufu la Kariakoo jijini Dar es Salaam, akisema kuwa hayafai kuwepo katikati ya jiji.

"Majengo ya Kariakoo, asilimia kubwa, kama kweli tunataka haki, eneo hilo linatakiwa libakie peupe (white). Kwanza yako mjini, pili mfumo wa ujenzi wake hauvutii kuwa sehemu ya katikati ya jiji." Akifananisha na mpango wa Marekani kuwa na Times Square ambapo ni kivutio cha watu wengi duniani.

View attachment 3157142
anajua uchungu wa kujenga hata gorofa moja tu, anaweza kustep into the shoes ya wamiliki wa magorofa ya kariakoo aone uchungu wake? kwanini anafanya swipping generalization kwamba magorofa yote hayafai? kwa matajiri wa kariakoo najua watamdharau tu kwa sababu aliyeongea watasema hana hela kwanza. na hazijui hela wala uchungu wa hela.
 
Back
Top Bottom