Baba Levo: Nimeibetia Al Ahly itashinda 7 - 0 Simba

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Mtangazaji maarufu pale mjini usafini .....haya ni maoni yake

"Sitaki kuwa Mnafiki Siioni Simba ikishinda Mchezo wake Dhidi ya Al Ahly Tayari Nimebeti Al Ahly wanashinda Dhidi ya Simba SC, na Kesho nitakuwepo Uwanja wa Mkapa Nina Ticket yangu ya VIP" Babalevo Mtangazaji wa Wasafifm [emoji3578].

NB: inawezekana kipigo heavyweight kweli kinakuja [emoji32]
 
Unawapaisha tu watu wasiostahili. Yaani Baba Levo ndio wa kufanyia reference humu? Kwanza ameshazoea kuliwa hela kwenye casino, na hii pia ataliwa
 
Unawapaisha tu watu wasiostahili. Yaani Baba Levo ndio wa kufanyia reference humu? Kwanza ameshazoea kuliwa hela kwenye casino, na hii pia ataliwa
Hatuwezi ignore mawazo yake ....coz ni mtangazaji mahiri wa michezo pale mjini usafini fm
 
Akafanye kwanza upasuaji wa pua maana dah...
 
Una mpango gani na huyo mke wa watu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…